Nauza business plan yenye mchanganuo ulokamilika

Nauza business plan yenye mchanganuo ulokamilika

October man

JF-Expert Member
Joined
Nov 23, 2017
Posts
3,632
Reaction score
5,023
Habari

Business location DODOMA

Kwanza plan hii niliyoiandika imetoka kwenye experience yangu natumai ukiifata vilivyo hauwezi Jutia au kujaribu biashara husika nakuhakikishia hilo, Business plan kilamtu anaweza andika ila Business location ipoje...Business strategy ipoje hii ndio solid business.

Ninayo business plan niloiandika mimi mwenyewe nikiwa chuo kuhusu biashara ya mgahawa, ifahamike kuwa Hakuna wazo jipya duniani ila kitu kipya kwenye wazo Business location na Business strategy hicho ndicho ninachokiuza hapa, plan ya biashara niliyoiandika ni ya sehemu yenye Soko nimeeleza soko lipoje, kwanini kuna soko na vipi ulivune soko zaidi maana hakuna mfanya biashara aliyee mahala hapo ambaye ajali-win soko kila mwenye mgahawa ana wateja bila tatizo ila nilichoandika nijinsi gani utalipata zaidi ilo soko kwamaana ya wateja nina experience kwasababu mimi nilikuwa mmoja ya wateja na nimeishi na wateja nilichoandika sio illusion niliandika nije kuki-apply ila naona mambo yamekuwa taiti kwangu.

Huu ndio muda sahihi ukiwa unataka kufungua mgahawa kwasababu biashara zinaanza mwezi wa 11 baada ya wanafunzi kufungua chuo, so chuo kinapokea intake mpya ya wanafunzi saasahivi ndio muda wa kutengeneza mgahawa wakija wanafunzi unakuwa huna tofauti na migahawa iliyopo kabla.

NB: nachouza sio wazo bali BUSINESS LOCATION na uchambuzi wa KULITAWALA SOKO vyote nimeandika kwa experience yangu.

Bei nauza 100,000/=

namlenga mtu mwenye mtaji mzito 5M to 10M.
 
Swali zuri sana!

Nashukuru mkuu, kuna siku niliwahi kutoa wazo ofisini hawa jamaa wanaojiita consultant wawe ni sehem ya kutekeleza kile walichokiandika. Itawafanya wanapoandika wawe wanatafakatari uwezekano wa kutekeleza wanachokiandika. Hii ya kutupia makabrasha yenye lugha na misamiati ya kuvutia wanavuta pesa haiwawajibishi sana.
 
Ukipewa hiyo 5M, utakua tayari kusimamia hilo wazo lako litekelezeke kwa mujibu wa huo mpango na mchanganuo wako?
Naweza tena hata miradi mitano nayote hakuna utaoleta asala, nikupe mfano ukirusiwa kufungua stationary ndani ya chuo kama UDSM unafikili hapo sitiyari soko lipo automate ndio mantiki ya Business location nayoiinadi iyo stationary ukawa unafanya huduma kwa bei affordable unafikili utashindwa kulitawala soko maana sio kuli-win Business location tiyari soko unalo ila kupitia strategy unalitawala | hicho ndio kilichopo ndani pesa yako hauichezei kamali kutokana na eneo tiyari lina soko linalokisubili wewe pia na strategy nilizokuandalia for my experiance itakufanya uwe guru lakini kilamtu anapata.
 
Nashukuru mkuu, kuna siku niliwahi kutoa wazo ofisini hawa jamaa wanaojiita consultant wawe ni sehem ya kutekeleza kile walichokiandika. Itawafanya wanapoandika wawe wanatafakatari uwezekano wa kutekeleza wanachokiandika. Hii ya kutupia makabrasha yenye lugha na misamiati ya kuvutia wanavuta pesa haiwawajibishi sana.
Mie sio consult ila wazo nilotaka kutekeleza mwenyewe ila ndio hivyo mtaji tatizo la dunia.
 
Naweza tena hata miradi mitano nayote hakuna utaoleta asala, nikupe mfano ukirusiwa kufungua stationary ndani ya chuo kama UDSM unafikili hapo sitiyari soko lipo automate ndio mantiki ya Business location nayoiinadi iyo stationary ukawa unafanya huduma kwa bei affordable unafikili utashindwa kulitawala soko maana sio kuli-win Business location tiyari soko unalo ila kupitia strategy unalitawala | hicho ndio kilichopo ndani pesa yako hauichezei kamali kutokana na eneo tiyari lina soko linalokisubili wewe pia na strategy nilizokuandalia for my experiance itakufanya uwe guru lakini kilamtu anapata.

Sikukatishi tamaa wala kubeza wazo lako zuri, hizi lugha tamu zilinisababishia hasara ya zaidi ya 10M.
Pamoja na kwamba unaweza kuwa umeandika vizuri na kiukweli mambo uliyoyaainisha ndivyo yanavyoonekana kwa sasa.
Vitu huwa tofauti sana unapokuja kwenye utekelezaji, kitu kimoja nnachokubaliana na wewe ni kwamba, mwenye business plan kama amaeiandaa kwa umakini, anakua na nafasi nzuri ya kufanikiwa au kusitisha utekelezaji mapema na kubadili mambo kabla hajapata hasara kubwa.
 
Sikukatishi tamaa wala kubeza wazo lako zuri, hizi lugfha tamu zilinisababishia hasara ya zaidi ya 10M.
Pamoja na kwamba unaweza kuwa umeandika vizuri na kiukweli mambo uliyoyaainisha ndivyo yanavyoonekana kwa sasa.
Vitu huwa tofauti sana unapokuja kwenye utekelezaji, kitu kimoja nnachokubaliana na wewe ni kwamba, mwenye business plan kama amaeiandaa kwa umakini, anakua na nafasi nzuri ya kufanikiwa au kusitisha utekelezaji mapema na kubadili mambo kabla hajapata hasara kubwa.
Confident hata ukianzisha biashara tatu kwa mpigo hakuna utakayokosa wateja na hakuna scratch stage siku ya kwanza tu unauza unamaliza am write it from my experience soko kubwa tena sanaaa waliopo wanashindwa kulilisha lote na linavyozidi kwenda linaongezeka.
 
Nashukuru mkuu, kuna siku niliwahi kutoa wazo ofisini hawa jamaa wanaojiita consultant wawe ni sehem ya kutekeleza kile walichokiandika. Itawafanya wanapoandika wawe wanatafakatari uwezekano wa kutekeleza wanachokiandika. Hii ya kutupia makabrasha yenye lugha na misamiati ya kuvutia wanavuta pesa haiwawajibishi sana.
Actually there are consultants who work on those terms and they do not get paid until the work is done.Yaani utagharamikia zile operational costs tu kama nauli and such ila FEES zao ni mpaka baada ama ya break even au at the time when wameshatengeneza viable business.
 
Actually there are consultants who work on those terms and they do not get paid until the work is done.Yaani utagharamikia zile operational costs tu kama nauli and such ila FEES zao ni mpaka baada ama ya break even au at the time when wameshatengeneza viable business.

Nafikiri huo ndio ungekua utaratibu kwa mote.
 
42618BC4-1155-4857-907B-D2AA99AE4C58.jpeg



2A0AA950-7E53-41D3-999E-279B5C06495E.jpeg


Kama una uwezo wa kuandika business plan mtafute mtanzania mwenye permanent residency kwenye hiyo nchi.

Mwambie afanye registration na UK aid na wewe mwenyewe jiunge uwe unaona new applications zinapotoka umsukume afanye application akifanikiwa muingie 50:50 partnership. Andaa business nzuri ndio zinazoshinda ideal anza na za hela ndogo between £10000-£50000 ipo siku mtalamba dume; kama kuna watanzania waweza andika business plans na kushinda basi mtanzania yeyote anaweza.
 
Sasa bro iyo 100k unayotaka itakusaidia nini wakati unauza location yenye kuleta zaid ya iyo 100,000/=?
 
Back
Top Bottom