kama huna background ya IT ni ngumu sana ata akielezea maana kuna vocabulary atazitumia itakuwa ngum sana kwa mtu ambae ajasoma IT,ICT, Computer Eng, computer, science, software eng and like.Ndiyo biashara gani hiyo? Sisi wenzako wengine tuko vijijini huku, hatuelewi. Fafanua tafadhali kama hutojali.
Kama Kichwa Cha habari Kinavyojieleza.
Nina Biashara ya Hosting ambayo bado ni Changa, Nimeifanya Kwa Miaka miwili na Tayari. Ina wateja ambao wako Active 10, Na Wanalipia Kila mwaka (Wanalipia kuanzia 120,000 - 160,000/yr).
Kutokana Na Kupata Kazi ambayo itanibana na Kushindwa kutoa support kwa wateja wangu. Nimeona niiuze kwa mtu au Kampuni inayofanya huduma za Hosting.
Kama Utahitaji Full WHM nitakupatia au kama utahitaji Kufanya Migration Tu ya Account za Wateja tutakubaliana. Bei Njoo Na Offer yako na Pia Mawasiliano karibu PM. ( Kwa aliye Serious.)
NB: Hii ni kwa wale wanaojua/wanaofanya au wanaotarajia kuanza Biashara ya Hosting.
Karibuni.
Bei yake ikojeKama Kichwa Cha habari Kinavyojieleza.
Nina Biashara ya Hosting ambayo bado ni Changa, Nimeifanya Kwa Miaka miwili na Tayari. Ina wateja ambao wako Active 10, Na Wanalipia Kila mwaka (Wanalipia kuanzia 120,000 - 160,000/yr).
Kutokana Na Kupata Kazi ambayo itanibana na Kushindwa kutoa support kwa wateja wangu. Nimeona niiuze kwa mtu au Kampuni inayofanya huduma za Hosting.
Kama Utahitaji Full WHM nitakupatia au kama utahitaji Kufanya Migration Tu ya Account za Wateja tutakubaliana. Bei Njoo Na Offer yako na Pia Mawasiliano karibu PM. ( Kwa aliye Serious.)
NB: Hii ni kwa wale wanaojua/wanaofanya au wanaotarajia kuanza Biashara ya Hosting.
Karibuni.
Check your inboxKama Kichwa Cha habari Kinavyojieleza.
Nina Biashara ya Hosting ambayo bado ni Changa, Nimeifanya Kwa Miaka miwili na Tayari. Ina wateja ambao wako Active 10, Na Wanalipia Kila mwaka (Wanalipia kuanzia 120,000 - 160,000/yr).
Kutokana Na Kupata Kazi ambayo itanibana na Kushindwa kutoa support kwa wateja wangu. Nimeona niiuze kwa mtu au Kampuni inayofanya huduma za Hosting.
Kama Utahitaji Full WHM nitakupatia au kama utahitaji Kufanya Migration Tu ya Account za Wateja tutakubaliana. Bei Njoo Na Offer yako na Pia Mawasiliano karibu PM. ( Kwa aliye Serious.)
NB: Hii ni kwa wale wanaojua/wanaofanya au wanaotarajia kuanza Biashara ya Hosting.
Karibuni.
Nashukuru Kwa Ufafanuzi Mkuu, Nilitaka pia kutoa haya maelezo yako ila Nilihofia pia kwa wasioelewa kuona kama na wakwaza. Hasantekama huna background ya IT ni ngumu sana ata akielezea maana kuna vocabulary atazitumia itakuwa ngum sana kwa mtu ambae ajasoma IT,ICT, Computer Eng, computer, science, software eng and like.
kwa ufupi anauza system yake (WHM) ya kuhost websites
Nafukuru kwa ujumbe Bosi, Kama ni mwelewa Wa mambo Ya Website Hosting karibu PM na Offer Yako.Bei yake ikoje
Nashukuru Boss kwa kuliweka sawa.Ungeandika tu (WEB HOSTING MANAGEMENT) wengi waelewe
Haya goodluck [emoji1666]
Mimi ndio nijikadirie au why nikufuate pm wakati umetangaza hadharaniNafukuru kwa ujumbe Bosi, Kama ni mwelewa Wa mambo Ya Website Hosting karibu PM na Offer Yako.