Habari msomaji!
Kama kichwa cha habari kinayoeleza ninauza bata bukini wadogo wenye umri wa miezi 6. Idadi yao ni 6 na kati yao madume mawili na majike manne (4).
Napatikana mkoa wa Dar Es Salaam eneo ni makongo, kwa taarifa zaidi tuwasiliane kwa private message (PM).
Bei ni 150,000/- kila mmoja ila kwa atakayechukua wote bei itapungua
Sifa / faida za bata bukini hususani hawa nao fuga:
1. Wanatanga awamu mbili kwa mwaka
2. Awamu moja anataka hadi mayi 8
3. Ni walezi wazuri wa watoto
4. Ni wazuri pia kwa ulinzi
Asanteni
Kama kichwa cha habari kinayoeleza ninauza bata bukini wadogo wenye umri wa miezi 6. Idadi yao ni 6 na kati yao madume mawili na majike manne (4).
Napatikana mkoa wa Dar Es Salaam eneo ni makongo, kwa taarifa zaidi tuwasiliane kwa private message (PM).
Bei ni 150,000/- kila mmoja ila kwa atakayechukua wote bei itapungua
Sifa / faida za bata bukini hususani hawa nao fuga:
1. Wanatanga awamu mbili kwa mwaka
2. Awamu moja anataka hadi mayi 8
3. Ni walezi wazuri wa watoto
4. Ni wazuri pia kwa ulinzi
Asanteni