Nauza bata bukini wadogo

Nauza bata bukini wadogo

gayo

JF-Expert Member
Joined
Feb 17, 2011
Posts
238
Reaction score
93
Habari msomaji!
Kama kichwa cha habari kinayoeleza ninauza bata bukini wadogo wenye umri wa miezi 6. Idadi yao ni 6 na kati yao madume mawili na majike manne (4).

Napatikana mkoa wa Dar Es Salaam eneo ni makongo, kwa taarifa zaidi tuwasiliane kwa private message (PM).

Bei ni 150,000/- kila mmoja ila kwa atakayechukua wote bei itapungua

Sifa / faida za bata bukini hususani hawa nao fuga:
1. Wanatanga awamu mbili kwa mwaka
2. Awamu moja anataka hadi mayi 8
3. Ni walezi wazuri wa watoto
4. Ni wazuri pia kwa ulinzi

Asanteni
 

Attachments

  • IMG_2398.JPG
    IMG_2398.JPG
    297.4 KB · Views: 208
  • IMG_2391.JPG
    IMG_2391.JPG
    276.9 KB · Views: 217
Habari msomaji!
Kama kichwa cha habari kinayoeleza ninauza bata bukini wadogo wenye umri wa miezi 6. Idadi yao ni 6 na kati yao madume mawili na majike manne (4).

Napatikana mkoa wa Dar Es Salaam eneo ni makongo, kwa taarifa zaidi tuwasiliane kwa private message (PM).

Bei ni 150,000/- kila mmoja ila kwa atakayechukua wote bei itapungua

Sifa / faida za bata bukini hususani hawa nao fuga:
1. Wanatanga awamu mbili kwa mwaka
2. Awamu moja anataka hadi mayi 8
3. Ni walezi wazuri wa watoto
4. Ni wazuri pia kwa ulinzi

Asanteni
Mkuu kama unaweza niletee Arusha nikupe laki tano (500,000/-) kwa wote sita. Kama it's ok niambie nikupe contacts
 
Huyo batabukini analiwa? Anafaa kwa ulinzi upi anafukuza majambazi usiku au?
 
Asanteni kwa michango yenu! Ambaye atakuwa anahitaji tuwasiliane bado wapo. Nishauri wenzangu mjaribu pia kufanya research ili muwajue zaidi
 
Mkuu kama unaweza niletee Arusha nikupe laki tano (500,000/-) kwa wote sita. Kama it's ok niambie nikupe contacts

Ungekuwa unawafuata mwenyewe tungeweza kuongea chief. Kusafirisha hawa ndege kwa basi ni hatari
 
Ndugu bado bata bukini wapo na kwa anayehitaji tuwasiliane tafadhali. Anaweza kuni PM
 
Ni bata kweli au majini? Maana watu Dar hawaaminiki, mtu anakuambia anauza bata ukinunua na kuwafuga unapatwa na misukosuko maishani.
 
Ni bata kweli au majini? Maana watu Dar hawaaminiki, mtu anakuambia anauza bata ukinunua na kuwafuga unapatwa na misukosuko maishani.
Bata kweli mkuu! unaruhusiwa pia tutembelea uwaone uulize na majirani. Nafuga kama njia nyingine ya kupata kipato na chakula kwa familia ila pia ni muajiriwa sekta binafsi.
 
Jambo lingine tena la muhimu kuhusu hawa bata bukini ni kuwa wanaishi umri mrefu sana (zaidi ya miaka 20). Nimeamua kupunguza bei atakayetaka wote 6 bei ya mwisho ni 600,000/- na kwa mmoja ni 120,000/-

karibuni sana
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom