Natumaini ni wazima,,
Nauza bajaji iko mbeya mjini, iko katika hali nzuri haidaiwi chochote na watu wala mamlaka yoyote na haijapigwa rangi.
Sababu ya kuamuwa kuiuza ni usumbufu na karaha za madereva ninaowapa kazi ya kuendesha na kuniletea hela, nauza bei ya hasara tu ni Tsh 2,900,000/= ila maelewano yapo kwa atakaye kuwa tayari.
Kwa atakayekuwa tayari anaweza kuja kuicheki mwenyewe au akiwa na fundi wake mda wa wowote isipokuwa Usiku.
Mawasiliano.
unaweza unaniPM au ukanicheki kwa emaili akilimbili2018@gmail.com
Nauza bajaji iko mbeya mjini, iko katika hali nzuri haidaiwi chochote na watu wala mamlaka yoyote na haijapigwa rangi.
Sababu ya kuamuwa kuiuza ni usumbufu na karaha za madereva ninaowapa kazi ya kuendesha na kuniletea hela, nauza bei ya hasara tu ni Tsh 2,900,000/= ila maelewano yapo kwa atakaye kuwa tayari.
Kwa atakayekuwa tayari anaweza kuja kuicheki mwenyewe au akiwa na fundi wake mda wa wowote isipokuwa Usiku.
Mawasiliano.
unaweza unaniPM au ukanicheki kwa emaili akilimbili2018@gmail.com