Mkuu bado hujapata soko tu? Unapatikana mkoa gani??habarini wapendwa
nauza Asali mbichi ya nyuki wakubwa kutoka Mkoa Wa Katavi....nauza kwa jumla na rejareja ni nzuri na haijachakachuliwa
jumla Lita 20 ni tsh 200,000 na rejareja Lita moja ni tsh 12,000 kwa anaehitaji tuwacliane kwa 0718632033
...
NAKULETEA POPOTE ULIPO