komeka JF-Expert Member Joined May 1, 2013 Posts 1,072 Reaction score 404 Sep 15, 2013 #1 wadau mi ni mjasiriamali ninayejishuhulisha na uuzaj wa asali mbichi kutoka tabora na bei yangu ni elfu 12 kwa lita kwa muhitaj ani pm pliiiz
wadau mi ni mjasiriamali ninayejishuhulisha na uuzaj wa asali mbichi kutoka tabora na bei yangu ni elfu 12 kwa lita kwa muhitaj ani pm pliiiz
Mtanzania haswa JF-Expert Member Joined Oct 31, 2010 Posts 663 Reaction score 100 Sep 15, 2013 #2 komeka said: wadau mi ni mjasiriamali ninayejishuhulisha na uuzaj wa asali mbichi kutoka tabora na bei yangu ni elfu 12 kwa lita kwa muhitaj ani pm pliiiz Click to expand... hivi asali ya Tabora si tuliambiwa ina nicotin na ni hatari kwa afya ya binadamu? kwamba nyuki wake hutua ktk maua ya tumbaku
komeka said: wadau mi ni mjasiriamali ninayejishuhulisha na uuzaj wa asali mbichi kutoka tabora na bei yangu ni elfu 12 kwa lita kwa muhitaj ani pm pliiiz Click to expand... hivi asali ya Tabora si tuliambiwa ina nicotin na ni hatari kwa afya ya binadamu? kwamba nyuki wake hutua ktk maua ya tumbaku