Nauza Acoustic Guitar

Nauza Acoustic Guitar

saadmad

JF-Expert Member
Joined
Aug 12, 2011
Posts
729
Reaction score
653
Habari wadau, nauza acoustic guitar kama linavyoonekana kwenye picha hapo, lipo vizuri na linapatikana mbagala kuu. Kwa mwenye kuhitaji anaweza kuni PM bei ni 140k .

Asanteni
 

Attachments

  • IMG-20250404-WA0009.jpg
    IMG-20250404-WA0009.jpg
    365.9 KB · Views: 20
  • IMG-20250404-WA0011.jpg
    IMG-20250404-WA0011.jpg
    224.3 KB · Views: 25
  • IMG-20250404-WA0007.jpg
    IMG-20250404-WA0007.jpg
    233.9 KB · Views: 20
Bei kubwa sana mkuu, ukizingatia yapo mapya yanauzwa kwa bei chini ya hapo.
 
Wazee langu limekatika kamba mbili na limepinda kidogo...wapi Kwa dar napata fundi guitar?
 
Wazee langu limekatika kamba mbili na limepinda kidogo...wapi Kwa dar napata fundi guitar?
Kwa strings utazipata madukani kariakoo au kwenye maduka ya vifaa vya muziki ila kwenye mafundi kama seremala hawezi kufix sijui wapi kuna mafundi haya madude kwa mjini hapa
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom