Nauza Achari /ubuyu wa embe

Aisee hii kitu nilikuwaga nakula moro enzi nipo shule ya msingi ni mtamu sana, nilikuwa najiuliza tu mbona dar sijawahi ona hili kabisa japo biashara ni nyingi mno! Mkuu mi nifundishe kutengeneza basi niwe nakula hapa home
 
Zainabu naruhusiwa kutumia hiyo namba yako ya simu uliyoweka hapo kwa mambo yetu yale?[emoji4][emoji4][emoji4]
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…