Naungana na Kubenea, Kweli Lowassa kiboko

Naungana na Kubenea, Kweli Lowassa kiboko

Ametataka mwenyewe, sasa ni muda tu yote yatamlipukia usoni kwake. Jamaa alitia mkono kila sehemu yenye ulaji. Yote hiyo haikutosha akaona ni bora aingie ikulu ale zote kabisa. Sasa kitamgeukia na wajinga watasema anaonewa. Ccm sio wajinga kukaa kimya muda wote huu.

Kwani ikulu ipo kwa ajili ya ccm tu. Wacha na wengine waingie
 
Tulereeni mkataba wa MAKOMEO wa kuuza nyumba eneo potential ambalo serikali zote zinazokuja haziwezi kulipata(oysterbay),
Eneo la pembezoni mwa bahari lenye mandhari safi,na maeneo ya beach huwa ghali sana ila yameuzwa CHEE na ni kwa MKOPO
 
Mlikuwa wapi siku zote? Ngoja awatie sawasawa, mtasema yote
 
Pona ya ccm ni kuzuia jina la lowassa lisiende kwa wananchi kupigiwa kura!
 
I will vote for Edward Ngoyai Lowassa and I shall convince my fellow teachers and students at large to do the same.
 
Nina wasiwasi na jamiiforum nayo imenunuliwa, hii topic mwanzo ilikuwa na jina na terehe iliyoandikwa katika gazeti la mwanahalisi lkn wameondoa jina la mwandishi, ambaye ni saidi kubenea sijui maana yake nini?
 
Nina wasiwasi na jamiiforum nayo imenunuliwa, hii topic mwanzo ilikuwa na jina na terehe iliyoandikwa katika gazeti la mwanahalisi lkn wameondoa jina la mwandishi, ambaye ni saidi kubenea sijui maana yake nini?

Mwizi mwizi tu awe ccm au awe ukawa ni mwizi tu
 
Lakini ukaribu (uhusiano) wa Mkulu na huyo mwekezaji mnaujua? Mnafikiri Lowasa alikurupuka? Think twice!!
 
Back
Top Bottom