Naumwa kwa miaka mingi ila sizidiwi

ellyrehema

JF-Expert Member
Jan 13, 2012
1,199
989
Jamani habari zenu. kama kuna daktari ataweza kunisaidia tatizo langu hili nitafurahi sana. mimi nina miaka 34 na tangu nikiwa na umri wa miaka 24 nilianza kusikia kama maralia muda wote mara iningine ukipima inakuwepo ukinywa dawa hujisikii nafuu ila ukipima tena unakuta hakuna maralia, baadae nikaiona ni hali ya kawaida baada ya kuzoea. nahisi maumivu ya mifupa, masikio yanavuma ziiiiii!!!!, pia kichwa kinauma ila si sana. hali hii ni muda wote tangu nikiwa na umri huo. nimetumia dawa nyingi tu bila mafanikio. nilienda kwa watu wa tiba mbadala nikaambiwa eti mifupa yangu imezeeka kuliko umri wangu, pia nina sumu nyingi mwilini nahitaji kufanyiwa Detoxin, nilishindwa bei ya matibabu yao kwani niliambiwa laki tano. maisha yangu si mabaya na pia si mazuri saaana ni mtu wa kawaida kwani nina kipato cha wastani.na ninaishi kwa kufuata kanuni zote za afya.
kinachonishangaza naugua sana kila mwezi lazima niugue maralia nilishapima ukimwi sina,
SWALI je kuna hduma ya kuondoa sumu kitaalam(hospitalini?) na hii huduma inapatikana hospitali gani na kwa bei gani?. sasa naona nitakufa mapema na muda mwingine huwa naacha kunywa dawa tu na sizidiwi ila mwili wangu unaugua tu muda wote. naomba tuwasiliane kwa email yangu derick4u@ymail.com
 
Jamani habari zenu. kama kuna daktari ataweza kunisaidia tatizo langu hili nitafurahi sana. mimi nina miaka 34 na tangu nikiwa na umri wa miaka 24 nilianza kusikia kama maralia muda wote mara iningine ukipima inakuwepo ukinywa dawa hujisikii nafuu ila ukipima tena unakuta hakuna maralia, baadae nikaiona ni hali ya kawaida baada ya kuzoea. nahisi maumivu ya mifupa, masikio yanavuma ziiiiii!!!!, pia kichwa kinauma ila si sana. hali hii ni muda wote tangu nikiwa na umri huo. nimetumia dawa nyingi tu bila mafanikio. nilienda kwa watu wa tiba mbadala nikaambiwa eti mifupa yangu imezeeka kuliko umri wangu, pia nina sumu nyingi mwilini nahitaji kufanyiwa Detoxin, nilishindwa bei ya matibabu yao kwani niliambiwa laki tano. maisha yangu si mabaya na pia si mazuri saaana ni mtu wa kawaida kwani nina kipato cha wastani.na ninaishi kwa kufuata kanuni zote za afya.
kinachonishangaza naugua sana kila mwezi lazima niugue maralia nilishapima ukimwi sina,
SWALI je kuna hduma ya kuondoa sumu kitaalam(hospitalini?) na hii huduma inapatikana hospitali gani na kwa bei gani?. sasa naona nitakufa mapema na muda mwingine huwa naacha kunywa dawa tu na sizidiwi ila mwili wangu unaugua tu muda wote. naomba tuwasiliane kwa email yangu derick4u@ymail.com
Inwezekana kuna watakao kuja na majibu tofauti na yangu..well i agree to disaagree..
USHAURI wangu...regardless imani yako...Nenda kaombewe kwa jina la Yesu na Uokoke(be carefull na manabii wa uongo)
 
Inwezekana kuna watakao kuja na majibu tofauti na yangu..well i agree to disaagree..
USHAURI wangu...regardless imani yako...Nenda kaombewe kwa jina la Yesu na Uokoke(be carefull na manabii wa uongo)
Badala ya wewe kumpa Ushauri wa kuombewa na wachungaji wewe unamuambia akaokoke? asipo okoka hawezi kupona? Pole sana kwa kuumwa ningelikushauri uende Hospitali kuu ya rufaa Muhimbili ukapime vipimo vyote mwilini mwako kisha uje utupe feedback wamesema nini huko Hospitalini? Kisha tutaweza namna ya kukusaidia pia waweza kuwasiliana na mimi email yangu Address ni hii hapa (fewgoodman@hotmail.com) pole sana bibie.@ellyrehema
 
Badala ya wewe kumpa Ushauri wa kuombewa na wachungaji wewe unamuambia akaokoke? asipo okoka hawezi kupona? Pole sana kwa kuumwa ningelikushauri uende Hospitali kuu ya rufaa Muhimbili ukapime vipimo vyote mwilini mwako kisha uje utupe feedback wamesema nini huko Hospitalini? Kisha tutaweza namna ya kukusaidia pia waweza kuwasiliana na mimi email yangu Address ni hii hapa (fewgoodman@hotmail.com) pole sana bibie.@ellyrehema
MziziMkavu,kuokoka ni zaidi ya kuombewa na wachungaji or anyone else.Kuokoka ni UPONYAJI wa mwili ,roho na nafsi....
 
Last edited by a moderator:
MziziMkavu,kuokoka ni zaidi ya kuombewa na wachungaji or anyone else.Kuokoka ni UPONYAJI wa mwili ,roho na nafsi....
Mimi mbona nimeokoka miaka mingi lakini bado ninaumwa roho na mwili? Unaweza kuokoka na bado ukaumwa mwili kuokoka kunatokana na roho sio mwili. mwili mbali na Roho ni mbali ni vitu 2 tofauti unawezakuokoka na bado ukawa unaumwa mwili upo pamoja na mimi mkuu Lilian Masilago?
 
Last edited by a moderator:
Mimi mbona nimeokoka miaka mingi lakini bado ninaumwa roho na mwili? Unaweza kuokoka na bado ukaumwa mwili kuokoka kunatokana na roho sio mwili. mwili mbali na Roho ni mbali ni vitu 2 tofauti unawezakuokoka na bado ukawa unaumwa mwili upo pamoja na mimi mkuu Lilian Masilago?

Unaweza kuwa unaumwa mwili(yes sometimes it happens) lakn sio roho (kama umeokoka kiukweli na sio kichina china)...otherwise tunaongea vitu tofauti kati yako na mimi. Nasema hivo kwa sababu roho yako ni ya muhimu zaidi na huu mwili utaishia kuwa mavumbi...
Naomba nikupe ANGALIZO kuwa mwenye haki huwa anaishi kwa IMANI akisitasita Mungu hana furaha nae.
 
Unaweza kuwa unaumwa mwili(yes sometimes it happens) lakn sio roho (kama umeokoka kiukweli na sio kichina china)...otherwise tunaongea vitu tofauti kati yako na mimi. Nasema hivo kwa sababu roho yako ni ya muhimu zaidi na huu mwili utaishia kuwa mavumbi...
Naomba nikupe ANGALIZO kuwa mwenye haki huwa anaishi kwa IMANI akisitasita Mungu hana furaha nae.
Usitie mambo ya Dini na Maradhi unaweza kuokoka unavyotaka wewe na maradhi ukawa nayo. Basi kusingekuwepo hospitali Duniani Watu wangelikuwa wanaokoka na kupona hata hao waliokufundisheni mambo ya kuokoka wanakwenda Ma Hospitalini acha imani yako ya kuokoka mpe Dawa huyu mgonjwa apone kisha ndio umwambie aokoke mkuu Samahani kama nitakukwaza na kuokoka kwako huko Lilian Masilago
 
Last edited by a moderator:
Nakushauri ukaombewe kwa jina la Yesu. Yesu anaponya watu wa dini zote tatizo ni sisi binadamu tunapenda kumfanya Yesu kama mali yetu binafsi.

Ukiweza soma Biblia upade wa agano jipya na umwombe Yesu akuponye. Fanya hivyo mara kadhaa.
 
nahisi una tatizo la immunity...au lile la body kuattack immunity yako automatically.....i hope MziziMkavu hatakuambia utafute kwato la ng'ombe.....,lol:wacko:
 
Last edited by a moderator:
nahisi una tatizo la immunity...au lile la body kuattack immunity yako automatically.....i hope MziziMkavu hatakuambia utafute kwato la ng'ombe.....,lol:wacko:
Kwani kila kitu ni kwato la Ng'ombe bibie .. Neema? Kwato la Ng'ombe ni kwa ajili ya mtoto anaye kojoa kitandani sio kwato la Ng'ombe kwa kila maradhi upo pamoja bibie mpendwa?
 
Last edited by a moderator:
Kwani kila kitu ni kwato la Ng'ombe bibie .. Neema? Kwato la Ng'ombe ni kwa ajili ya mtoto anaye kojoa kitandani sio kwato la Ng'ombe kwa kila maradhi upo pamoja bibie mpendwa?

nakutania bwana,tupo pamoja,ila hio tiba ya kwato mmmmmmmmmmmmmnh mie siiamini,,,,,:wacko:
 
Badala ya wewe kumpa Ushauri wa kuombewa na wachungaji wewe unamuambia akaokoke? asipo okoka hawezi kupona? Pole sana kwa kuumwa ningelikushauri uende Hospitali kuu ya rufaa Muhimbili ukapime vipimo vyote mwilini mwako kisha uje utupe feedback wamesema nini huko Hospitalini? Kisha tutaweza namna ya kukusaidia pia waweza kuwasiliana na mimi email yangu Address ni hii hapa (fewgoodman@hotmail.com) pole sana bibie.@ellyrehema

Mkuu maneno yako wakati fulani yakupasa upime hilo jina kwa uzoefu wangu ni la kiume na sio sawa kumuita bibie...
Kumshauri aende Muhimbili mmh! kwani mgomo mkubwa wa Madaktari ni vitendea kazi haswa mashine za kupimia n.k sidhani kama anaweza pata hivyo vipimo na akaja pona sawia kwa uzoefu mkubwa watu waendao muhimbili huambiwa wakafanye vipimo kwenye hospital binafsi na majibu wawaletee pale muhimbili na hii Madaktari wetu wliona ni kadhia iliyosababishga migomo
 
Siku za karibuni kuna huduma ya tiba mbadala maeneo mengi. Kwa wale wanaosikiliza vipindi hivyo kwenye radio hasa mtafahamu Praise power na WAPO radio zinatangaza kuhusu maeneo ambayo tiba hizo zinapatikana kule Kurasini, Mbezi Samaki na Kimara Stop Over. Huko hupimwa kwa computer na kubainisha kiwango cha sumu mwilini. Kisha huendesha zoezi la kuondoa sumu....bei yake ilikuwa Tz 20,000 (sijui siku hizi) na lazima kuingizwa kwenye mashine hiyo mara 3 ili kuhakikisha sumu imeondolowa mwilini. Kingine (hata kama mimi si daktari) maradhi kama hayo unayosema yanaweza kusababishwa na mionzi (rays) -ambazo sources zake zinafahamika au hazifahamiki. But try that one bibie
 
Jamani habari zenu. kama kuna daktari ataweza kunisaidia tatizo langu hili nitafurahi sana. mimi nina miaka 34 na tangu nikiwa na umri wa miaka 24 nilianza kusikia kama maralia muda wote mara iningine ukipima inakuwepo ukinywa dawa hujisikii nafuu ila ukipima tena unakuta hakuna maralia, baadae nikaiona ni hali ya kawaida baada ya kuzoea. nahisi maumivu ya mifupa, masikio yanavuma ziiiiii!!!!, pia kichwa kinauma ila si sana. hali hii ni muda wote tangu nikiwa na umri huo. nimetumia dawa nyingi tu bila mafanikio. nilienda kwa watu wa tiba mbadala nikaambiwa eti mifupa yangu imezeeka kuliko umri wangu, pia nina sumu nyingi mwilini nahitaji kufanyiwa Detoxin, nilishindwa bei ya matibabu yao kwani niliambiwa laki tano. maisha yangu si mabaya na pia si mazuri saaana ni mtu wa kawaida kwani nina kipato cha wastani.na ninaishi kwa kufuata kanuni zote za afya.
kinachonishangaza naugua sana kila mwezi lazima niugue maralia nilishapima ukimwi sina,
SWALI je kuna hduma ya kuondoa sumu kitaalam(hospitalini?) na hii huduma inapatikana hospitali gani na kwa bei gani?. sasa naona nitakufa mapema na muda mwingine huwa naacha kunywa dawa tu na sizidiwi ila mwili wangu unaugua tu muda wote. naomba tuwasiliane kwa email yangu derick4u@ymail.com

Nakushauri jitahidi kula matunda fresh kwa kuanzia tafuta beetroot moja na carrot moja utengeneze juice kila siku kwa siku tatu mfululizo unywe kila asubuhi kabla ya kula kitu na usile kitu mpaka baada ya nusu saa halafu uone. ushauri wa pili, nenda kwenye hospitali ya natural therapies opposite Hindu mandal hospital DSM waone uwaeleze ili wakufanyie kipimo cha mwili ( nadhani itakuwa bado shs 20,000) wanaweza kukusaidia sana. nazungumza kwa experience yangu ndogo.:cool2:
 
Back
Top Bottom