Naumwa kifua inaenda wiki ya pili

PANTHERA LEO

JF-Expert Member
Jan 25, 2019
2,307
3,431
Wakuu natumaini mko poa .

Nimetumia dawa nyingi lakini kifua hakiponi. Juzi homa ilipanda lakini nimepima malaria nimeambiwa sina

Mimi sio mtumiaji wa sigara au pombe kali.

Chaajabu ni watu wengi ninao wafahamu wanaumwa hali kama yangu

Naombeni msaada wenu wakuu nitumie dawa gani maana hospitali kila nikienda dawa ndio zinaniongeza maumivu zaidi.
 
Wakuu natumaini mko poa .

Nimetumia dawa nyingi lakini kifua hakiponi. Juzi homa ilipanda lakini nimepima malaria nimeambiwa sina

Mimi sio mtumiaji wa sigara au pombe kali.

Chaajabu ni watu wengi ninao wafahamu wanaumwa hali kama yangu

Naombeni msaada wenu wakuu nitumie dawa gani maana hospitali kila nikienda dawa ndio zinaniongeza maumivu zaidi.
Mkuu, pole sana.

Unaumwaje? Kifua kinabana? Unakohoa? Kikohozi cha aina gani? Dalili ambatanishi ni zipi?

Upo maeneo gani na hao wenzako wanaoumwa unahusiana nao vipi?

Hospital umeenda, wamekupa dawa gani unazosema umezitumia bila mafanikio?
 
Mkuu, pole sana.

Unaumwaje? Kifua kinabana? Unakohoa? Kikohozi cha aina gani? Dalili ambatanishi ni zipi?

Upo maeneo gani na hao wenzako wanaoumwa unahusiana nao vipi?

Hospital umeenda, wamekupa dawa gani unazosema umezitumia bila mafanikio?
Mwanzo kilikuwa kinabana. Ila kwasasa nakohoa kikohozi kilaini lakini hakiishi.

Kuna muda kichwa kinauma, joto linakuwa kali

Mafua pia yapo.

Hapa mtaa niliopo katika nyumba 20 nyumba 15 kuna mgonjwa au mtu aliepitia hii hali ndani ya huu mwezi

Yani watu ni wengi

Dawa nilizotumia

Ampicilin
Coldril
Hizo ndio nazijua majina.. kuna nyingine za pink zina laza tamu hivi
Na nyingine vidonge vidogo sana vyeupe

Pia nilishatumia tangawizi .. yai bichi nk
 
Wakuu natumaini mko poa .

Nimetumia dawa nyingi lakini kifua hakiponi. Juzi homa ilipanda lakini nimepima malaria nimeambiwa sina

Mimi sio mtumiaji wa sigara au pombe kali.

Chaajabu ni watu wengi ninao wafahamu wanaumwa hali kama yangu

Naombeni msaada wenu wakuu nitumie dawa gani maana hospitali kila nikienda dawa ndio zinaniongeza maumivu zaidi.
Polee sana kwanza ungeenda hospital yenye vipimo vikubwa huenda wakajua tatizo lako
 
Mwanzo kilikuwa kinabana. Ila kwasasa nakohoa kikohozi kilaini lakini hakiishi.

Kuna muda kichwa kinauma, joto linakuwa kali

Mafua pia yapo.

Hapa mtaa niliopo katika nyumba 20 nyumba 15 kuna mgonjwa au mtu aliepitia hii hali ndani ya huu mwezi

Yani watu ni wengi

Dawa nilizotumia

Ampicilin
Coldril
Hizo ndio nazijua majina.. kuna nyingine za pink zina laza tamu hivi
Na nyingine vidonge vidogo sana vyeupe

Pia nilishatumia tangawizi .. yai bichi nk
Pole sana.

Kwa kuwa umesema eneo ulilopo kuna wenzako mmepitia hali hiyo, basi bila shaka huenda kimesababishwa na hali ya hewa ya kipindi cha baridi kwa mwezi August.

Lakini pia, usijali. Kifua huchukua muda ili kupona kabisa. Mathalani wiki mbili na zaidi.

Kwa sasa, kama dawa za hospial hazikuletei unafuu basi tumia tangawizi. Siyo ishu ya siku moja, bali tumia kila siku mpaka utakapoona hali yako inaimarika.
 
Pole sana.

Kwa kuwa umesema eneo ulilopo kuna wenzako mmepitia hali hiyo, basi bila shaka huenda kimesababishwa na hali ya hewa ya kipindi cha baridi kwa mwezi August.

Lakini pia, usijali. Kifua huchukua muda ili kupona kabisa. Mathalani wiki mbili na zaidi.

Kwa sasa, kama dawa za hospial hazikuletei unafuu basi tumia tangawizi. Siyo ishu ya siku moja, bali tumia kila siku mpaka utakapoona hali yako inaimarika.
Sawa mkuu nashukuru kingine nilisahau kuna muda nakosa hamu ya kula
 
Wakuu natumaini mko poa .

Nimetumia dawa nyingi lakini kifua hakiponi. Juzi homa ilipanda lakini nimepima malaria nimeambiwa sina

Mimi sio mtumiaji wa sigara au pombe kali.

Chaajabu ni watu wengi ninao wafahamu wanaumwa hali kama yangu

Naombeni msaada wenu wakuu nitumie dawa gani maana hospitali kila nikienda dawa ndio zinaniongeza maumivu zaidi.
Pole sana mkuu, ngoja nijazie tu hoja kwa wasimopita wenzangu. Kwa ufahamu wang kimatibabu naona wazi kama utakuwa na dalili za T.B. nazo dalil n kama ifuatavyo:-

Kukosa hamu ya kula kwa maana hausikii vyema radha ya chakula ulacho.

Kuhisi homa kali hasa wakati wa usiku (kujashuka sana wakati wa usiku pindi unapolala).

Kukohoa kwa zaidi ya wiki mbl mfululizo.

Kukosa usingizi hasa wakati wa usiku.

Kukauka kwa sauti na kuwa na vidonda shingoni.

Kupungua kwa uzito (1kg Loss per 2 week).

Kukohoa kikosi chepesi => kizito kisha damu.

maumivu makali ya kifua pindi unapokohoa.

Kama una dalili 4 kati ya hizo hasa kupungua uzito na kukohoa zaid ya wik mbil nakushaur ukapime T.B mkuu. Asante
 
Back
Top Bottom