Ni Wiki ya pili hii nawashwa kwanzia sehem za siri, mapaja mpaka tumboni

pascal luoga

JF-Expert Member
Feb 23, 2019
232
257
Habari wakui ndani ya jukwaa hili?

Ni hivi, ni kwangu tu ama tatizo hili lipo kila sehem ndani ya kipind hiki?

Tatizo
Ni Wiki ya pili hii nawashwa kwanzia sehem za siri, mapaja mpaka tumboni...ukijikuna unatoka kama ukurutu ama mba, pia tatzo hili huanza hasahasa nyakat za usiku kwanzia saa1 na kuendelea... usiku kucha naweza nisilale kwa muwasho....naombeni msaada wakuu ni dawa gani nitumie.

Vidonge vua minyoo nimetumia lakini wapi.
 
Kwanza naomba nikutoe wasi wasi mkuu nimejikuta nafarijika kuona kumbe siko peke yangu mwenye tatizo hili mimi pia hii ni ni wiki ya tatu napitia hii hali mwanzo tuliambiawa ni sababu ya joto hasa huku mjini nikawa najitahida kuoga mara kwa mara kwa siku inapunguza tu lkn si tiba ikifika usiku sasa mbn balaaa!!!!!!!
781cb698-748c-46bd-b2ed-0b8e033fbeac.jpg

Tumia iyo dawa mkuu imenisaidia
 
Nenda kanunue sabuni ya Tetmosol soap, uwe unaiacha dakika moja. Ujitahidi uende hospital upewe dawa za vijidudu vya miwasho. Uwe unaziosha boxer zako na detol na uwe unapiga pasi boxer zako. .

Mwisho kabisa nyoa vuzi zote ubaki kipara, wadudu wanapenda sana sehemu za nywele...
 
Tafuta moja ya dawa hizi:

Terbinafine ointment tumia mara 2 kwa siku muda wa wiki mbili.

Others are Clotrimazole cream or Ketoconazole cream. Zisipokufaa in 5 days nicheki tu-advance tiba


Sawa mkuu, lakini mimi ninahitaji kujua sababu ya huo ugonjwa kwani kinga ni bora kuliko tiba.
 
Habari wakui ndani ya jukwaa hili??

Ni hivi, ni kwangu tu ama tatzo hili lipo kila sehem ndani ya kipind hiki?...
Mzee mambo vp? Wala usiwaze mjomba hiyo kitu ilinisumbua pia nenda pharmacy nunua dawa inaitwa scaboma cream tumia afu uje ulete mrejesho kilalakher man..nafikiri hako kaugonjwa nikama upepo fulani maana kamewakumba wengi tu upone haraka bro..
 
Kawaida scabies ndiyo huwasha zaidi usiku. Hii ukijikuna mara nyingi hutokea kipele. Huu husababishwa na maambukizi ya wadudu wa scabies ambao huzama ndani ya ngozi.

Unaweza ambukizwa kama ulilala gesti chafuchafu au ulitembea na mwanamke mwenye scabies. Dawa yake unaweza tumia sabuni ya tetmosol au BBE lotion. Pia utahitaji kufua vizuri mashuka na maji ya moto maana vinaweza kaa kwenye mashuka hata siku tatu.

Pia unahitaji dawa ya kupunguza muwasho kama cetirizine sababu wadudu wanaweza kufa ila muwasho huchelewa kuisha.
 
Mkuu kwa iyo story yako fupi una maambukizi ya fungus


Sasa baàaaasi ili uweze pambana nayo.

Unahitaji

Moja iwe yakupaka (local infection)

Nyingine yakumeza (systemic infection)

Kwa local
Kuna cream kadhaa clotrimazole I prefer

Kwa systemic piaa zipo kadhaa
Fluconazole tabs I prefer
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom