Hao watu si wema hata kidogo bc tu walitaka kukua mtoto wa watu,cha msingi kwa mda huo wote tayari ulisha samehe,ngoja nikuulize swali mnalala kitanda kimoja au kila mtu cha kwake? na chumba?
Mh Hebu muulize na mjadili kuhusu Hilo, kwani yeye ndio anateseka sana, maana hajui uliwazalo. Na atakuwa yuko na mawazo mengi tegemea lolote kutoka Kwake, kukutoroka, kujiua nk
hapo!!! kuna matatiz meng kati yako na yeye,bt aliyefanya kosa ndo yuko kweny risk zaid yako,ni uamuz mgum xana naweny kuleta kila aina ya majib kwa mwenko....bt mim nasndwa kukwambia direct nin ufanye,if was me ningeendelea kukaa kmya