Nauliza tu....

Hahahaha....umenkumbusha mbali sana. Mm hiyo kitu nliacha baada ya kuteleza na kuanguka na mama akasema "asante Mungu, nlikuwa nasubiri kwa hamu sana". Aisee, nlijipaka mafuta huku natoa miguno ya maumivu na jazba juu. Kuanzia hapo nlikuwa siendi kuoga bila taulo.
 
asee pole sana
 


Nataka nijue niache au bado bado
Ukisha vunja ungo na ukaanza kuliwa nanihii,ni wakati wa kutoacha kabisa kabisa,yaani unakuwa huna haya tena coz tayari umeshajua kutafunwa,kwa hiyo kwenda na kutoka bafuni uchi haijalishi kabisa,wewe unajiachia tu ili uwe mtafunwa wakati wooote.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…