Gangongine
JF-Expert Member
- Dec 31, 2015
- 3,854
- 1,776
Zile shamrashamra za kuzungusha mikono, kudeki barabara, kuigiza kuzimia, kuchukua photoshop ya maandamano ya Ughaibuni na kulaghai watu nyomi ya Mikutano bandia zimeishia wapi?
Wapi Mgombea Mwenza mwenye mbwembwe na machachari? UKAWA umekuwa UKIWA! Very Sad!! Huku Gongolamboto hatuwaoni tena mkiigiza kupanda daladala wala kuonja uji wa Mama Ntilie Buguruni! Ah nikukumbuka bendera kwenye pikipiki na biashara ndogo ndogo!! Hata ile Salaam yetu bado ipo?? Waaaaaapiiiii!
Watu hawataki ulaghai, wanataka Sera madhubuti za kutatua kero zao. Watu hawataki vigeugeu wanaosema leo hiki cheusi na kesho wakasema Cheupe!! Wanaopa kutompokea Fulani na kesho wakamfanyia Sherehe!
Wapi Bwana habari wa UKAWA?? Alipoteza majimbo manne (4)akarudi peke yake!! Masikini alipoteza muda mwingi kujenga kwa wenzake kwake kukaporomoka! SIASA ZA ULAGHAI KAMWE HAZITAFAULU!!
Wapi Mgombea Mwenza mwenye mbwembwe na machachari? UKAWA umekuwa UKIWA! Very Sad!! Huku Gongolamboto hatuwaoni tena mkiigiza kupanda daladala wala kuonja uji wa Mama Ntilie Buguruni! Ah nikukumbuka bendera kwenye pikipiki na biashara ndogo ndogo!! Hata ile Salaam yetu bado ipo?? Waaaaaapiiiii!
Watu hawataki ulaghai, wanataka Sera madhubuti za kutatua kero zao. Watu hawataki vigeugeu wanaosema leo hiki cheusi na kesho wakasema Cheupe!! Wanaopa kutompokea Fulani na kesho wakamfanyia Sherehe!
Wapi Bwana habari wa UKAWA?? Alipoteza majimbo manne (4)akarudi peke yake!! Masikini alipoteza muda mwingi kujenga kwa wenzake kwake kukaporomoka! SIASA ZA ULAGHAI KAMWE HAZITAFAULU!!