nyumbatatu
JF-Expert Member
- Jul 19, 2013
- 1,076
- 939
Kwa mujibu wa nguo aliyovaa anaokana FundiSasa alifuata nini kule juu?
Inaonekana Kuna wengine wanakula kwa damu yaoDuh!
Ile laana ya Mungu ya "mtakula kwa jasho lenu" ni balaa ..!
Mungu turehemu.
Siku hizi majeruhi anapiga selfie... Hizi Simu Janja zimefanya watu wawe watumwa fulani hivi...Unakuta ajali imetokea lakini watu ndio kwanza wanapiga picha na kurecord video badala ya kutoa msaadaBadala ya kutoa huduma ya kwanza watu wapo busy na ku record video...ama kweli binadamu tumerogwa vibaya.
Duh!Inaonekana Kuna wengine wanakula kwa damu yao
Mkuu usiwalaumu, hata ungekuwa wewe ungemuogopa, huwezi jua Kama bado anaumeme mwilini ama lahakuna mtu anamsaidia - ubinaadamu unatoweka !!
sidhani, Transmission line kama hzo zinatoka moja kwa moja kwenye power plant na zinakuwa na umeme wa kutosha baada ya kuongezwa na transformer.Kwa mujibu wa nguo aliyovaa anaokana Fundi
Inawezekana kabisaHuyu jalada lake la kifo hata Mungu amelipoteza na shetani hana pia.
Hahaha duuh kweli aisee maana sio mateso haya ila tuendelee kukomaa tuDuh!
Ile laana ya Mungu ya "mtakula kwa jasho lenu" ni balaa ..!
Mungu turehemu.