We jamaa weweKichwa kinasema nauliza
Nini mkuu?We jamaa wewe
Mkuu kwani hujaelewa...mbona kuna watu mnajifanyaga mnaleta sana ujuaji humuKichwa kinasema nauliza
Kwani nimecomplain au?Mkuu kwani hujaelewa...mbona kuna watu mnajifanyaga mnaleta sana ujuaji humu
Unajua sana matusi????Kwani nimecomplain au?
Kabla mtu hajafungua uzi lazima asome kichwa cha habari,vipi kama akiomba moderators wamsaidie kuweka vizuri huoni inaweza msaidia sababu inawezekana kweli kuna mtu anataka kununua.Sasa kwa inavyosomeka inawezekana wengi wasiufungue!!!
Think twice kabla hujaleta blah blah zako
Rubbish