Wakuu nauliza free host web kwani kila niliyotembele nilazima ulipie hata zile nilizokuwa nafahamu zamani zikitoa huduma ya bure sasa unalipia!!!Je zipo za bure??
Bure? Dah ndugu upo ulimwengu gani? Hakuna cha bure mkuu, hata hicho cha bure kina gharama zake. Ufike wakati watu tuondoe dhana mfu kwenye vichwa vyetu jamani.
Wakuu nauliza free host web kwani kila niliyotembele nilazima ulipie hata zile nilizokuwa nafahamu zamani zikitoa huduma ya bure sasa unalipia!!!Je zipo za bure??
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.