Miss julie
New Member
- Aug 20, 2020
- 1
- 1
Habari zenu wote natumai mu wazima
Mimi nimuajiriwa ila nahitaji kipato cha ziada mara kwa mara nimekuwa nikijaribu kutengeneza ubuyu lakini umekuwa hautokei kama unavyo paswa sasa nashindwa kujua shida hipo wapi
Mfano leo nimebandika maji yakachemka nikaweka rangi kidogo nikaweka sukari pilipil manga vikachemka mpaka kutoa povu kisha nikaweka Simba kijiko kimoja ikachemka mpaka kunata nikashusha nika changanya na ubuyu pamoja na unga wake lakini bado haijawa kama vile inavyo paswa wapendwa nakosea wapi.
Mimi nimuajiriwa ila nahitaji kipato cha ziada mara kwa mara nimekuwa nikijaribu kutengeneza ubuyu lakini umekuwa hautokei kama unavyo paswa sasa nashindwa kujua shida hipo wapi
Mfano leo nimebandika maji yakachemka nikaweka rangi kidogo nikaweka sukari pilipil manga vikachemka mpaka kutoa povu kisha nikaweka Simba kijiko kimoja ikachemka mpaka kunata nikashusha nika changanya na ubuyu pamoja na unga wake lakini bado haijawa kama vile inavyo paswa wapendwa nakosea wapi.