THEGENTLEMAN1996 JF-Expert Member May 13, 2017 518 590 Jun 17, 2017 #1 ndugu jf naomba kujua nauli ya Tabora to arusha ni shilling ngapi ? nifahamisheni muda wa safari pia.. je gari zipo na kufanya safari kila siku ? NB: nipo mbali na maeneo tajwa hivo nisingeuliza huku..
ndugu jf naomba kujua nauli ya Tabora to arusha ni shilling ngapi ? nifahamisheni muda wa safari pia.. je gari zipo na kufanya safari kila siku ? NB: nipo mbali na maeneo tajwa hivo nisingeuliza huku..
BIGstallion JF-Expert Member Sep 13, 2016 6,323 7,895 Jun 17, 2017 #2 Panda gari za kutoka mwanza,..isamilo iko fresh,..ni elfu 35 nadhani
THEGENTLEMAN1996 JF-Expert Member May 13, 2017 518 590 Jun 17, 2017 Thread starter #4 BIGstallion said: Panda gari za kutoka mwanza,..isamilo iko fresh,..ni elfu 35 nadhani Click to expand... je hizo safari ni kila siku ? je ni masaa mangapi hadi kufika ?
BIGstallion said: Panda gari za kutoka mwanza,..isamilo iko fresh,..ni elfu 35 nadhani Click to expand... je hizo safari ni kila siku ? je ni masaa mangapi hadi kufika ?
THEGENTLEMAN1996 JF-Expert Member May 13, 2017 518 590 Jun 17, 2017 Thread starter #5 masupacca16 said: 35000 Click to expand... masupacca16 said: 35000 Click to expand... safari huanza saa ngapi ?
masupacca16 said: 35000 Click to expand... masupacca16 said: 35000 Click to expand... safari huanza saa ngapi ?
BIGstallion JF-Expert Member Sep 13, 2016 6,323 7,895 Jun 17, 2017 #6 THEGENTLEMAN1996 said: je hizo safari ni kila siku ? je ni masaa mangapi hadi kufika ? Click to expand... Ni kila siku ukitoka asubui,unafika SAA mbili usiku,kama unatoka tabora,ilq unaweza fika mapema zaidi,
THEGENTLEMAN1996 said: je hizo safari ni kila siku ? je ni masaa mangapi hadi kufika ? Click to expand... Ni kila siku ukitoka asubui,unafika SAA mbili usiku,kama unatoka tabora,ilq unaweza fika mapema zaidi,
imhotep JF-Expert Member Oct 13, 2012 46,674 71,039 Jun 17, 2017 #7 Kuna NBS mboka to Atown nadhani ni thalathini.
sergio 5 JF-Expert Member May 22, 2017 8,678 9,374 Jun 17, 2017 #8 600 mtu mzima kwa treni mwanafunzi 100
tamuuuuu JF-Expert Member Mar 10, 2014 19,966 25,201 Jun 17, 2017 #9 Mkuu coast line ndo kila kitu, nauli 30000. Niliwahi panda ina charging system
Kibwengo JF-Expert Member Jul 29, 2015 6,838 5,294 Jun 20, 2017 #10 Je na nauli ya Dodoma to arusha Kiasi gani ?
imhotep JF-Expert Member Oct 13, 2012 46,674 71,039 Jun 20, 2017 #11 kibwenzi said: Je na nauli ya Dodoma to arusha Kiasi gani ? Click to expand... Hiyo waulize watani zangu warangi wao huwa wanaenda na ungo.
kibwenzi said: Je na nauli ya Dodoma to arusha Kiasi gani ? Click to expand... Hiyo waulize watani zangu warangi wao huwa wanaenda na ungo.