nauli ya kutoka TABORA TO ARUSHA kwa bus ni kiasi gani?

THEGENTLEMAN1996

JF-Expert Member
May 13, 2017
518
590
ndugu jf

naomba kujua nauli ya Tabora to arusha ni shilling ngapi ?

nifahamisheni muda wa safari pia..

je gari zipo na kufanya safari kila siku ?

NB: nipo mbali na maeneo tajwa hivo nisingeuliza huku..
 
Mkuu coast line ndo kila kitu, nauli 30000.
Niliwahi panda ina charging system
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…