kyalankota
JF-Expert Member
- Jul 27, 2014
- 2,594
- 1,463
Wakuu natanguliza salamu zangu kwenu. Poleni na majukumu ya hapa na pale.
Naomba kujua Range ya nauli za Usafiri wa basi Dar-Mwanza kwa sasa bei gani? Na ni mabasi gani yapo comfortable zaidi na yanafika muda mzuri Mwanza?
Kwa aliyesafiri hivi karibuni tafadhali naomba jibu.
Natanguliza shukrani za dhati kabisa. Akhsanteni sana.
Naomba kujua Range ya nauli za Usafiri wa basi Dar-Mwanza kwa sasa bei gani? Na ni mabasi gani yapo comfortable zaidi na yanafika muda mzuri Mwanza?
Kwa aliyesafiri hivi karibuni tafadhali naomba jibu.
Natanguliza shukrani za dhati kabisa. Akhsanteni sana.