Bus luxury two by two si chini ya 45000,hapa ni ndenjela,mby express n.k.kwa yale mabasi ya ki hip hop(upendo,majinjah na mengineyo) ni mwendo Wa 30000 mpk 35000.ingawa samtym ukijiliza hata 26000 unaitafuta Uyole.
Ndenjela safi sana. Wale madreva wake wadada wale, noma. Hawana mizaha na wako makini kiaina. Waongeze mabus mengine yaende mikoa mingine tanzania. Ni mfano wa kuigwa.
Usafiri gan sasa?usije sema punda
Mkuu kuna vigari vinavyotoka bandarini na kusafirishwa kwenda sehemu mbalimbali ndani na nje ya nchi, ukizipata hizo unaweza kuondoka hata kwa ten tu.
IT 25 alfajir upo mbeya...
Ahahaaaaaaaa, mods Peleka JUKWAA la Biashara na Matangazo Madogo Madogohivi nipo jukwaa gani?! embu ngoja niangalie kwanza nitarudi.