Steaming walau mara mbili kwa mwezi..pendelea zaidi vitu vya asili mfano parachichi, asali, ndizi, tui la nazi, maji ya mchele, maji ya vitunguu maji, mayai, maji ya ya tangawizi ni mazuri sana kwa wenye mba.
Ukiosha waweza kutumia bamia kama leave in conditioner, kisha ukapaka mafuta yako ukasuka.