wankuru nyankuru
JF-Expert Member
- Feb 11, 2019
- 491
- 763
Jana kulikuwa na Sherehe ktk eneo la club D Jijini Arusha ,nikiwa ukumbini Ile natoka Sasa kwenda nyumbani nikakuta gari imegongwa na huyo mtu akawa ameondoka, kuuliza walinzi nao wanajidai Kila mtu hajui aliyegonga.
Sasa Kwa sababu amekimbia bila ya kuwa na utu, mm natoa siku tatu ajitoke arudi pale club D anitafute.
La sivyo hataamini kitakachomkuta huko barabarani ndani ya siku 7 kuanzia Leo.
Mm ni msukuma wa bariadi vijijini , narudia mm ni msukuma wa bariadi.
Sasa Kwa sababu amekimbia bila ya kuwa na utu, mm natoa siku tatu ajitoke arudi pale club D anitafute.
La sivyo hataamini kitakachomkuta huko barabarani ndani ya siku 7 kuanzia Leo.
Mm ni msukuma wa bariadi vijijini , narudia mm ni msukuma wa bariadi.