NALIA NGWENA
JF-Expert Member
- Oct 6, 2016
- 10,288
- 12,789
Nawapongeza sana mashabiki wa Simba na Yanga wa huko south Africa kwa uzalendo mkubwa Tena mkiongozwa na Ubalozi wa Tanzania huko south Africa kwani alifanya kazi kubwa sana ya kuwakusanya watanzania (mashabiki) mkakusanyika bila hiyana kuja kulishangilia Taifa lenu.
Hakika huo ni uzalendo mkubwa sana Tena sana, NALIA NGWENA natuma salamu zangu za pongezi kupitia Mtandao huu maarufu wa Jamii forum, hakika nimefurahishwa sana na ni Jambo la kuigwa na watanzania wengine waliopo katika nchi nyingine, endapo timu zetu (Simba na yanga) zitakuja kwenye mataifa mengine basi zipewe sapoti bila kupepesa macho.
Zipokeeni hizi pongezi nazitoa kwa moyo mkunjufu haswa mashabiki wa Simba mlioko huko mmeonesha ni Jambo la kitaifa maana mmevua ushabiki wenu pembeni mmeamua kuisapoti Yanga bila hiyana.
Endeleeni na moyo huo huo mambo ya chuki hata Kama yanga ikifanya vizuri waachieni wakina.
DullyJr, OKW BOBAN SUNZU
Hakika huo ni uzalendo mkubwa sana Tena sana, NALIA NGWENA natuma salamu zangu za pongezi kupitia Mtandao huu maarufu wa Jamii forum, hakika nimefurahishwa sana na ni Jambo la kuigwa na watanzania wengine waliopo katika nchi nyingine, endapo timu zetu (Simba na yanga) zitakuja kwenye mataifa mengine basi zipewe sapoti bila kupepesa macho.
Zipokeeni hizi pongezi nazitoa kwa moyo mkunjufu haswa mashabiki wa Simba mlioko huko mmeonesha ni Jambo la kitaifa maana mmevua ushabiki wenu pembeni mmeamua kuisapoti Yanga bila hiyana.
Endeleeni na moyo huo huo mambo ya chuki hata Kama yanga ikifanya vizuri waachieni wakina.
DullyJr, OKW BOBAN SUNZU