- Thread starter
- #21
Nothing is perfect,sheria & bills nyingi zinaanza hivyo na zinakuwa fixed as the time goes..just a WIP as everything else..Siyo kila kitu lazima uingie kichwa kichwa, sioni tatizo la Tanzania kuvutia punzi hili suala, hata hawa Kenya, Uganda na Rwanda japo wanasema utaratibu huu utaanza kutumika mnamo January 2014 lakini kuna mambo hambayo bado hawajakubaliana, kama vile dola 100 atazolipa mtalii kwenye nchi atakayoigilia, na akienda kwenye nchi nyingine husika mgawanyo utakuwaje.
Changamoto nyingine, Uganda hawana vitambulisho vya Taifa, wanasema watatumia vile vya kuigia kura, je, wangapi wanavyo?