natimiza wiki sasa tangu nipige simu tanesco emergency kuelezea tatizo la umeme

mirindimo

JF-Expert Member
Nov 2, 2009
821
1,343
Nimeshikwa na hasira mpaka zimeniisha,sielewi kwa nini wanabagua mtu wa kumfanyia haraka na mtu wa kumfanyia baada ya mwezi,namaanisha hapa ningekua ni kigogo usiku huo huo mngekuja haraka sana,lakini kwa sababu ni kabwela acha niteseke kwanza ! Ina maana gani sasa nyie kuitwa emergency ? Kama ni isue kubwa si mngekuta maafa ? Au mnataka maafa yatokee ndio mkiri kweli alipiga simu na tulipanga tukaangalie tatizo ? Kama kuna boss anasoma hapa naomba mjue kua tanesco ni ya vigogo na walala hoi, halafu kinachoniumiza tunaofanyiana hv wote walala hoi , jamani kama kuna mchango natakiwa kutoa mniambie nitoe mje eeeh jamani , hii si haki kabisa! Inaniuma sn siwezi endelea andika vidole vimechoka ila sikui mkikaa kwenye 18 zangu mtajuta na familia zenu na mimi ntaonesha makucha yangu !
 
Nimeshikwa na hasira mpaka zimeniisha,sielewi kwa nini wanabagua mtu wa kumfanyia haraka na mtu wa kumfanyia baada ya mwezi,namaanisha hapa ningekua ni kigogo usiku huo huo mngekuja haraka sana,lakini kwa sababu ni kabwela acha niteseke kwanza ! Ina maana gani sasa nyie kuitwa emergency ? Kama ni isue kubwa si mngekuta maafa ? Au mnataka maafa yatokee ndio mkiri kweli alipiga simu na tulipanga tukaangalie tatizo ? Kama kuna boss anasoma hapa naomba mjue kua tanesco ni ya vigogo na walala hoi, halafu kinachoniumiza tunaofanyiana hv wote walala hoi , jamani kama kuna mchango natakiwa kutoa mniambie nitoe mje eeeh jamani , hii si haki kabisa! Inaniuma sn siwezi endelea andika vidole vimechoka ila sikui mkikaa kwenye 18 zangu mtajuta na familia zenu na mimi ntaonesha makucha yangu !
Kumbe wewe huwajui hao, nilishawahi kuwaita wakakaa 3 weeks, nikiwa nimeshatatua tatizo kwa kutumia kishoka nimesahau.Suku hiyo after 3 or 4 weeks hivi wananipigia simu eti wamekuja wanataka tuonane, sasa wanauliza kama kuna hela japo ya maji.Nikawaambia wakae bar ya jirani waagize wanavyotaka niko njiani nakuja.Sikwenda wakanipigia sana wamesha kunywa bia na nyama, nikawaambia nakuja siko mbali.Baadae nikawaambia siji tena nalala Kisarawe acha wanitukane kwa hasira, namimi japo nililipa manake nilitumia hela na kupoteza muda kuwatafuta, ikawa draw!
 
shida yako ninini?
tanesco wapi?
walikupa namba ya taarifa?

Tanesco kimara, shida yangu kuna mti ambao nahisi umetibu nyaya zinazokuja nyumbani na kusababisha umeme kuwaka na kuzima na baadae ukazima kabisa ni wiki sasa kila ukipiga wanakuambia watu wetu watakupitia hapo subiri kuna siku nliwaamini nikasubiri siku nzima bila kufanya shughuli yoyote! Namba unayosema nimepewa nnayo, sasa tukitafuta vishoka tunalaumiwa wananchi sasa tufanye nini unafikiria kama mambo ndio hivi hata kama wanataka hela waje basi ntawapa hiyo hela ! Hii inauma sana hasa kwa mtanzania mzalendo na wa hali ya chini na hakuna siku nimechelewa kulipa umeme !
 
Tanesco kimara, shida yangu kuna mti ambao nahisi umetibu nyaya zinazokuja nyumbani na kusababisha umeme kuwaka na kuzima na baadae ukazima kabisa ni wiki sasa kila ukipiga wanakuambia watu wetu watakupitia hapo subiri kuna siku nliwaamini nikasubiri siku nzima bila kufanya shughuli yoyote! Namba unayosema nimepewa nnayo, sasa tukitafuta vishoka tunalaumiwa wananchi sasa tufanye nini unafikiria kama mambo ndio hivi hata kama wanataka hela waje basi ntawapa hiyo hela ! Hii inauma sana hasa kwa mtanzania mzalendo na wa hali ya chini na hakuna siku nimechelewa kulipa umeme !

piga tanesco magomeni
omba namba ya meneja wao
mpe hiyo namba ya taarifa
mwambie upo gizani wiki
 
piga tanesco magomeni
omba namba ya meneja wao
mpe hiyo namba ya taarifa
mwambie upo gizani wiki

Natamani nipate hiyo namba ya huyo manager,nlienda pale wakanirushia mlangoni kua nirudi nisubiri watakuja watu kutoka mbezi , kama kuna mtu ana hiyo namba ya manager ani inbox ttafadhali
 
Natamani nipate hiyo namba ya huyo manager,nlienda pale wakanirushia mlangoni kua nirudi nisubiri watakuja watu kutoka mbezi , kama kuna mtu ana hiyo namba ya manager ani inbox ttafadhali


google mtandao wa tanesco
zipo hizo namba
 
na unatimiza miaka miwili sasa toka uichague serikali dhaifu....jipange mkuu
 
Kumbe wewe huwajui hao, nilishawahi kuwaita wakakaa 3 weeks, nikiwa nimeshatatua tatizo kwa kutumia kishoka nimesahau.Suku hiyo after 3 or 4 weeks hivi wananipigia simu eti wamekuja wanataka tuonane, sasa wanauliza kama kuna hela japo ya maji.Nikawaambia wakae bar ya jirani waagize wanavyotaka niko njiani nakuja.Sikwenda wakanipigia sana wamesha kunywa bia na nyama, nikawaambia nakuja siko mbali.Baadae nikawaambia siji tena nalala Kisarawe acha wanitukane kwa hasira, namimi japo nililipa manake nilitumia hela na kupoteza muda kuwatafuta, ikawa draw!

Safi sana,mimi penda hii
 
Back
Top Bottom