King Kong III
Platinum Member
- Oct 15, 2010
- 62,515
- 94,141
nina mpenz wangu ambae tupo nae kwa muda wa miaka mitatu sasa,cku za hivi karibuni ameanzisha mawasiliasno na mpenz wake wa zamani na nilipogundua nilimwonya na kutafta njia za kuwasiliana na huyo mwanaume na akanambia ni kweli walikua na mawasiliano ila mpenz wangu hakumwambia kama ana mtu tayari,nilimwambia akanielewa,juzi mpenz wangu anakuja rum ananiambia hapendi niwe nawasiliana na mpenz wake na akatyaka tubadil information detail zetu z fb,aandike yupo single na mengine mengi,nimekua mtu wa kuadhirika kimawazo kwani shindwakufany kazi zangu kwa kiwango kikubwa mpaka bosi wangu leo kaniweka kikao kujua tatizo nini,naombeni ushauri wenu wana jamvi juu ya huyu dada,
Mahawara hawaachani kamwePiga chini haraka sana atakutesa baadae
nina mpenz wangu ambae tupo nae kwa muda wa miaka mitatu sasa,cku za hivi karibuni ameanzisha mawasiliasno na mpenz wake wa zamani na nilipogundua nilimwonya na kutafta njia za kuwasiliana na huyo mwanaume na akanambia ni kweli walikua na mawasiliano ila mpenz wangu hakumwambia kama ana mtu tayari,nilimwambia akanielewa,juzi mpenz wangu anakuja rum ananiambia hapendi niwe nawasiliana na mpenz wake na akatyaka tubadil information detail zetu z fb,aandike yupo single na mengine mengi,nimekua mtu wa kuadhirika kimawazo kwani shindwakufany kazi zangu kwa kiwango kikubwa mpaka bosi wangu leo kaniweka kikao kujua tatizo nini,naombeni ushauri wenu wana jamvi juu ya huyu dada,
pole saana kijana. binti ameshaonesha dalili kwamba hamna FUTURE hapo. Fanya maamuzi magumu sasa. The sooner the better.
Kuna mtu kakuuliza hapo mwanzo una mpango gani nae coz km miaka 3 unamtumia tu hakuna dalili ya uchumba wala ndoa,au unayaongelea tu hayana vitendo unatarajia nn!kuwaacha marafiki zao co kigezo,hebu ongea naye na hiyo mipango yenu itekeleze kwa vitendo!miaka 3 ni mingi sn kwa mtu kubadilika bila sababu,tafuta sababu ya tatizo ndio utafute solution hakuna anayependa kumwacha mpnz wake aliyedum naye na kuvumiliana kwa mda mrefu mpaka kuzoeana!
Toka nduki kaka,asije akakukanumba huyo.
nina mpenz wangu ambae tupo nae kwa muda wa miaka mitatu sasa,cku za hivi karibuni ameanzisha mawasiliasno na mpenz wake wa zamani na nilipogundua nilimwonya na kutafta njia za kuwasiliana na huyo mwanaume na akanambia ni kweli walikua na mawasiliano ila mpenz wangu hakumwambia kama ana mtu tayari,nilimwambia akanielewa,juzi mpenz wangu anakuja rum ananiambia hapendi niwe nawasiliana na mpenz wake na akatyaka tubadil information detail zetu z fb,aandike yupo single na mengine mengi,nimekua mtu wa kuadhirika kimawazo kwani shindwakufany kazi zangu kwa kiwango kikubwa mpaka bosi wangu leo kaniweka kikao kujua tatizo nini,naombeni ushauri wenu wana jamvi juu ya huyu dada,
nina mpenz wangu ambae tupo nae kwa muda wa miaka mitatu sasa,cku za hivi karibuni ameanzisha mawasiliasno na mpenz wake wa zamani na nilipogundua nilimwonya na kutafta njia za kuwasiliana na huyo mwanaume na akanambia ni kweli walikua na mawasiliano ila mpenz wangu hakumwambia kama ana mtu tayari,nilimwambia akanielewa,juzi mpenz wangu anakuja rum ananiambia hapendi niwe nawasiliana na mpenz wake na akatyaka tubadil information detail zetu z fb,aandike yupo single na mengine mengi,nimekua mtu wa kuadhirika kimawazo kwani shindwakufany kazi zangu kwa kiwango kikubwa mpaka bosi wangu leo kaniweka kikao kujua tatizo nini,naombeni ushauri wenu wana jamvi juu ya huyu dada,