Ndio atajua kuwa haitajiki. . Kuforce mahusiano sio nzuri, unapoteza muda wako pia
Wewe utakuwa jobless....watu wa aina yako huwa mnahangaika na vitu vidogo vidogo ambavyo havina mantiki! Kama yupo busy na wewe kuwa busy, kwani ukianza wewe kumsalimia kuna ubaya gani?Moyo nataman hata niubadilishe na moyo wa kuku
Ninampenz simuelew jmn Mimi moyo wangu unauma sana....anaweza amka asubuh hata msg ya umeamkaje hamna... Atakaa siku nzima hata cm hamna mpaka Mimi nianze kumsalimia
Nikimuuliza kulikon anadai yupo busy anakazi nyingi
Jmn uko busy hata cm haushiki inamaana hauli? hauend choon
Wapenz jamaa nampenda sana nataman kujitoa kwake lkn najaribu akinipigia tu cm maamuz yanayeyuka
Kwel ananinyanyasa kihisia sana bad enough yeye hajal
Ha ha ha haAu labda wewe ni wakawaida sana kwahyo jamaa kukupenda umeona zali akikuacha hutatongozwa tena
Sent from My GooglePixel using JamiiForums mobile app
Hapo sasa unataka amnyonye abdara si vingineMpe vitu vipya atakutaka tu. Tatozo lako ni kuwa mpenzi wako hakumiss. Kuwa mbunifu kwene mahusiano yenu. Atakumiss na atakutafuta kila mara hadi utauona anakusumbua
Me mwenyewe nishaumizwa sana na mapenzi kisa kutokujua jinsi ya kuyahandle ila tangu nimeanza kufatilia ma dating gurus mambo yameanza kuninyookea
[emoji123][emoji123]Ile interview ilikufanya usijipampule kwakweli. [emoji85] [emoji85] [emoji85]
Naachaje kuvuta sasa!!![emoji123][emoji123]
Leo haujavuta?
Kadri unavyovuta ndivyo utakavyovutwa... jishaue tuNaachaje kuvuta sasa!!!
Siyo ampe mkuu bali amfanyie[emoji15] [emoji15] kama anapenda "jicho" ampe???mkuu acha utanii
Kupendwa hupendwiMoyo nataman hata niubadilishe na moyo wa kuku
Ninampenz simuelew jmn Mimi moyo wangu unauma sana....anaweza amka asubuh hata msg ya umeamkaje hamna... Atakaa siku nzima hata cm hamna mpaka Mimi nianze kumsalimia
Nikimuuliza kulikon anadai yupo busy anakazi nyingi
Jmn uko busy hata cm haushiki inamaana hauli? hauend choon
Wapenz jamaa nampenda sana nataman kujitoa kwake lkn najaribu akinipigia tu cm maamuz yanayeyuka
Kwel ananinyanyasa kihisia sana bad enough yeye hajal
HahahahaHuna chura bibie
Acha utani na mmea wewe[emoji57]Kadri unavyovuta ndivyo utakavyovutwa... jishaue tu
weweeee
Hebu niambie unamfanyiaje kwa hali kama hiyo kwa mfano?Siyo ampe mkuu bali amfanyie