Nateseka jamani mimi Sijui nimekosea wapi

Nateseka jamani mimi Sijui nimekosea wapi

maimatha

Senior Member
Joined
Mar 2, 2013
Posts
129
Reaction score
162
Moyo nataman hata niubadilishe na moyo wa kuku
Ninampenz simuelew jmn Mimi moyo wangu unauma sana....anaweza amka asubuh hata msg ya umeamkaje hamna... Atakaa siku nzima hata cm hamna mpaka Mimi nianze kumsalimia
Nikimuuliza kulikon anadai yupo busy anakazi nyingi
Jmn uko busy hata cm haushiki inamaana hauli? hauend choon
Wapenz jamaa nampenda sana nataman kujitoa kwake lkn najaribu akinipigia tu cm maamuz yanayeyuka
Kwel ananinyanyasa kihisia sana bad enough yeye hajal
 
Moyo nataman hata niubadilishe na moyo wa kuku
Ninampenz simuelew jmn Mimi moyo wangu unauma sana....anaweza amka asubuh hata msg ya umeamkaje hamna... Atakaa siku nzima hata cm hamna mpaka Mimi nianze kumsalimia
Nikimuuliza kulikon anadai yupo busy anakazi nyingi
Jmn uko busy hata cm haushiki inamaana hauli? hauend choon
Wapenz jamaa nampenda sana nataman kujitoa kwake lkn najaribu akinipigia tu cm maamuz yanayeyuka
Kwel ananinyanyasa kihisia sana bad enough yeye hajal
We funga begi lako kaolewe nae. Hapo utapata majibu ni wako au lah

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mtu Wa namna hiyo dawa yake kidogo tu. Embu kuanzia kesho kama asipokutumia sms na wewe jifanye kama umejisahau, I mean piga kimya mpaka usiku uangalia itakuwaje. Na endapo kama hata tuma mkaushie tena kwa siku inayofuata kama una moyo wa chuma lakini... asipokutumia sms kwa hizo siku mbili PAMBANA NA HALI YAKO MKUU.
 
Ukiona ivo ww una tatzo.. labda mlikorofshana mayb yy ndo alkua chanzo mkahitilafiana akawa anajarbu kukuomba msamaha ukawa unazngua, aliumia sana alpokua anakutafuta ukawa hurespond ..hujbu txt zake au hupokei cols.. akakata tamaa ya kua na ww, akaamua afanye mishe zake nyngne... baada ya mda umegundua kua kua bado unamwitaj afu na yy kashakutoa akilin..

Kwaio lazma ayo mambo yatokee..

Speaking from my experience!.. uktaka solution ni-inbobo....

Jicho la mwewe
 
Ukiona ivo ww una tatzo.. labda mlikorofshana mayb yy ndo alkua chanzo mkahitilafiana akawa anajarbu kukuomba msamaha ukawa unazngua, aliumia sana alpokua anakutafuta ukawa hurespond ..hujbu txt zake au hupokei cols.. akakata tamaa ya kua na ww, akaamua afanye mishe zake nyngne... baada ya mda umegundua kua kua bado unamwitaj afu na yy kashakutoa akilin..

Kwaio lazma ayo mambo yatokee..

Speaking from my experience!.. uktaka solution ni-inbobo....

Jicho la mwewe
No hatujawah kosana
 
Back
Top Bottom