Hackboy
Senior Member
- May 25, 2013
- 139
- 245
Napenda kutengeneza video games, nilijifunza teknolojia mbali mbali ili niweze kutengeneza video games zangu mwenyewe.
Kwanza kabisa nilikuwa tayari nishajua programming languages ambazo zinatumika kutengeneza video games kama C++, C#, Java, Python na Javascript. Pia nlikuwa najua kuchora 2D kwa kutumia software kama Adobe Illustrator na Photoshop. Lakini nilikuwa sijui kuchora katika 3D. Nikajifunza kuchora 3D kwa kutumia Blender.
Ndipo nikaanza kujifunza kutumia Software mbali mbali zakutengeneza video games, zinaitwa Game Engines. Nikajifunza Unity Engine, Unreal Engine CryEngine, Game Maker na Construct 2. Nilitengeneza games nyingi sana. Lakini zote hazikukamilika zikaishia kuwa kama demos. Nikaja kugundua ni kwa sababu nilitaka kuweka vitu vingi.
Pia kuna vitu nlikuwa naitaji kuweka kwenye games lakini inashindikana kutokana na limitations za izo Game Engines. Nikagundua makampuni makubwa wanatumia Game Engines na Programming Languages walizotengeneza wao wenyewe.
Na mimi nikaanza kufanya uchunguzi namna gani naweza tengeneza Game Engine na Programming Language zangu.
Nikaanza kujaribu kutengeneza a tool for User Interface. Ikawa natengeneza a full Web App bila kuandika any HTML code, yani natumia Javascript mwanzo mwisho. Badae pia nikaanza kutengeneza Android App bila kuandika XML, yani natumia Java mwanzo mwisho.
Kwenye kila platform nikaitengenezea framework yake, Ndipo nikazipa uwezo wakuchora 2D kwenye Web nikatumia Javascript, kwenye Android nilitumia C++ badae nikaiacha nikatumia Java, kwenye Windows PC nilitumia Javascript .NET nikaiacha nikaja kutumia C# .NET nayo nikaiacha nikatumia C++.
Ndio nikaanza kuzitengenezea Programming Language moja ambayo inaweza tengeneza game au app for all Web, Android na PC kwa kuandika code mara moja.
Nika ziunganisha teknolojia izo zote kwa pamoja katika tool niliyoipa jina la Hyperbox Engine. Natarajia kuikamilisha sio mda. Nitaiweka open source. Kila mtu ataweza kuitumia.
Kwa leo nimepost mwonekano wa Programming Language yangu, so mnaweza changia chochote. Syntax zake zinaonekanaje?
Kwanza kabisa nilikuwa tayari nishajua programming languages ambazo zinatumika kutengeneza video games kama C++, C#, Java, Python na Javascript. Pia nlikuwa najua kuchora 2D kwa kutumia software kama Adobe Illustrator na Photoshop. Lakini nilikuwa sijui kuchora katika 3D. Nikajifunza kuchora 3D kwa kutumia Blender.
Ndipo nikaanza kujifunza kutumia Software mbali mbali zakutengeneza video games, zinaitwa Game Engines. Nikajifunza Unity Engine, Unreal Engine CryEngine, Game Maker na Construct 2. Nilitengeneza games nyingi sana. Lakini zote hazikukamilika zikaishia kuwa kama demos. Nikaja kugundua ni kwa sababu nilitaka kuweka vitu vingi.
Pia kuna vitu nlikuwa naitaji kuweka kwenye games lakini inashindikana kutokana na limitations za izo Game Engines. Nikagundua makampuni makubwa wanatumia Game Engines na Programming Languages walizotengeneza wao wenyewe.
Na mimi nikaanza kufanya uchunguzi namna gani naweza tengeneza Game Engine na Programming Language zangu.
Nikaanza kujaribu kutengeneza a tool for User Interface. Ikawa natengeneza a full Web App bila kuandika any HTML code, yani natumia Javascript mwanzo mwisho. Badae pia nikaanza kutengeneza Android App bila kuandika XML, yani natumia Java mwanzo mwisho.
Kwenye kila platform nikaitengenezea framework yake, Ndipo nikazipa uwezo wakuchora 2D kwenye Web nikatumia Javascript, kwenye Android nilitumia C++ badae nikaiacha nikatumia Java, kwenye Windows PC nilitumia Javascript .NET nikaiacha nikaja kutumia C# .NET nayo nikaiacha nikatumia C++.
Ndio nikaanza kuzitengenezea Programming Language moja ambayo inaweza tengeneza game au app for all Web, Android na PC kwa kuandika code mara moja.
Nika ziunganisha teknolojia izo zote kwa pamoja katika tool niliyoipa jina la Hyperbox Engine. Natarajia kuikamilisha sio mda. Nitaiweka open source. Kila mtu ataweza kuitumia.
Kwa leo nimepost mwonekano wa Programming Language yangu, so mnaweza changia chochote. Syntax zake zinaonekanaje?