Natangaza rasmi kujivua CCM na kuwa mwanachama wa CHADEMA; wewe je?


Kujivua CCM katangazie M4C, hapa siyo mahali pake
 
unadhani kama matatizo haya nyinyiemu mlosababushia tungejua habari ya chadema.usimtishe mwenzuo anajua analifanya.najua nawewe unatamani sana tu,
 
Ukitaka na kadi nitakupa

Sent from my BlackBerry 9300 using Jambo Adverts Tanzania Networks.
 
Welcome Telo kwenye gari kubwa la wapenda haki za wananchi,waache hao wachache wasioelewana lakini muda wao ukaribu
 
Nadhani Iran kuwemo siyo muhimu, alitaka kuonyesha kuwa Tz imo kwenye ukanda huo.

JF ni shule sio sehemu ya porojo kama wewe huoni muhimu sio wote sijui kwa nini Pro-Chadema JF hata kwenye mambo ya udaku wanakuwa kitu kimoja...kama wewe unaambiwa Iran ni omba omba wa tatu duniani na wewe unakubali kazi kweli kweli.
 
Kujivua CCM katangazie M4C, hapa siyo mahali pake
M4C Haina mipaka ndugu ndiyo maana hata waliosema Dar ina wenyewe sasa hivi wako ICU!
Utashanga matangazo hadi kwenye NEC ya CCM we subiri utaona!.
 
JF ni shule sio sehemu ya porojo kama wewe huoni muhimu sio wote sijui kwa nini Pro-Chadema JF hata kwenye mambo ya udaku wanakuwa kitu kimoja...kama wewe unaambiwa Iran ni omba omba wa tatu duniani na wewe unakubali kazi kweli kweli.
Hoja ikiwa nzito watu mnaanza kuwa wanafunzi, Duhh .................! pata somo sasa TZ ni moja kati tatu ombaomba wenzi Iraq na Afghanistan.
Rudi kwenye mada!
Je inakubali kuwa GAMBA ulilomo na wenzio ndio mmetufikisha huko?

Ingia huku panakufaa zaidi, ukirudi tutajadili hoja upya!!
Jukwaa la Elimu (Education Forum)
 
M4C Haina mipaka ndugu ndiyo maana hata waliosema Dar ina wenyewe sasa hivi wako ICU!
Utashanga matangazo hadi kwenye NEC ya CCM we subiri utaona!.

Ahsante ndugu yangu kwa kunjibia tena majibu mazuri sana. People Powerrrrrrrrrr!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!
 
Kumbuka CDM ni chama cha wachache, wateule, wanajuana kwa vilemba. CCM ni kimbilio la wote
 
Kuwa mwanachama wa chama chochote cha siasa mpaka uwe na KADI ya uanachama. Tafuta KADI mdogo wangu!
 
Kumbuka CDM ni chama cha wachache, wateule, wanajuana kwa vilemba. CCM ni kimbilio la wote
Rekebisha, CCM haiwezi kuwa kimbilio tafuta neno jingine,
Watanzania wote kabla ya kurudi kwa vyama vingi utake usitake kwao ilikuwa CCM.
Hivyo hakuna mtu anakimbilia kwao ila ana........... kwao.
Kimbilio ni sehemu nyingine tofauti na kwenu, kama kwenu unaona hapakukufai.
 
Jamani mi nina tatizo kubwa sana na sijui kama wanasheria wanaweza kunisaidia. Nilimpa kura mgombea wa Urais wa Nyinyiem, Jakaya Kikwete, akashinda. Alitoa ahadi kemkem. Ajabu hajatekeleza hata moja ukiacha hii ya juzi ya kukabidhi sh milioni 10 kwa familia ya Kanumba. Sasa swali. Je, naweza kumshtaki yeye na chama chake nikidai kurudishiwa kura yangu, kuombwa radhi na kulipwa fidia kwa kuniharibia kura yangu na pia kuiomba mahakama imwamuru Mwenyekiti wa Tume ya Uchaguzi kutangaza upya matokeo ya Urais kwa kupunguza kura yangu? Ushauri jamani naumia sana!
 
Pole sana! wengi tulizipoteza mkuu!.
Hayo yalitabiriwa na nabii wa siasa nchini Pro.J tukamwita mhuni. Tafuta mistari ya NDIYO MZEE usome!.
Kuhusu msaada subiri KATIBA mpya maana matokeo unayozungumzia ni ya Urais.
Unaweza ukajikuta unavunja Katiba kwa sasa.
 

Pole sana ndugu kwa hayo yanayokuumiza. Usiwe na wasiwasi kwani ni wengi tu wanaojuta sasa kwa kura zao, kwani matokeo yake hawayaamini mpaka leo wala kesho. Lkn mimi nina habari njema kwako, Jiunge CHADEMA leo na kamwe hutajutia maamuzi yako, kwani mimi toka nijivue gamba-CCM na kujiunga CHADEMA asubuhi ya leo, hakika nina furaha kubwa sana na najisikia vizuri sana kwasababu nimetua mzigo niliokuwa nao karibia miaka 7 sasa wa kumpigia kampeni na kura Rais JM Kikwete. Usisite ndugu, fanya maamuzi leo na nafsi yako itakuwa HURU KWELI KWELI.
 
Ndugu yangu Telo nakupongeza kwa uamuzi huo mzuri uliofikia , mimi marehemu baba yangu enzi zile mwaka 1995 alikuwa mwanachama wa Chadema mzuri sana ila mimi nilijiunga CCM baada yakuona Chadema hakina mwelekeo .Lakini kwa mujibu wa mambo yanavyokwenda naona kwa dhati kabisa mimi kuendelea kuwa mwanachama wa CCM ni kupoteza muda wangu kwani sioni la maana kilichonifanyia zaidi ufisadi,ujinga,siasa majungu .ninashawishika nami kujiunga Chadema kwani ni tumaini la wengi.natanguliza shukrani za dhati kwakunipa mwamko .

Ni mimi
Alice
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…