Natangaza nia ya kugombea Ubunge 2015

elly1978

Senior Member
Apr 28, 2009
180
38
Mimi ni mtanzania wa upande wa Bara, nataka kugombea ubunge wa bunge la jamhuri ya muungano kwa tiketi ya CUF, jimbo la uzini, zenji, wadau inawezekana?
 
Mimi ni mtanzania wa upande wa Bara, nataka kugombea ubunge wa bunge la jamhuri ya muungano kwa tiketi ya CUF, jimbo la uzini, zenji, wadau inawezekana?

Hakuna nafasi kama hiyo imetangazwa kuwa unaweza kugombea ubunge wa uzini , ila ni kuwa mjumbe wa baraza la wawakilishi , kitu ambacho sio cha Muungano.

Unazijua sheria za uchaguzi Zanzibar? zijue kwanza kabla ya kuandika ulichoandika
 
Hakuna nafasi kama hiyo imetangazwa kuwa unaweza kugombea ubunge wa uzini , ila ni kuwa mjumbe wa baraza la wawakilishi , kitu ambacho sio cha Muungano.

Unazijua sheria za uchaguzi Zanzibar? zijue kwanza kabla ya kuandika ulichoandika

Kasema atagombea mwaka 2015 na wala sio sasa na ana haki kugombea kikatiba Ubunge jimbo lolote la Ubunge TZ likiwemo la Uzini kwani sifa pekee unayotakiwa kuwa nayo ni kuwa Mtanzania mwenye umri wa kuanzia miaka 18!

Ila huwezi kuwa na sifa ya kugombea Ujumbe wa Baraza la Uwakilishi hasa kama unaishi Bara kwa sababu sifa kuu ya kuteuliwa ni lzm uwe na ID inayoonyesha ww ni mkazi wa Zanzibar at least kwa miaka 3 mfululizo!

Jimbo hilo mbunge wake ni Mzee Seif Khatib(Correct me if i'm wrong)na "mwenye nalo Mzee Khatibu"sijasikia kama katangaza kung'atuka!
 
Kasema atagombea mwaka 2015 na wala sio sasa na ana haki kugombea kikatiba Ubunge jimbo lolote la Ubunge TZ likiwemo la Uzini kwani sifa pekee unayotakiwa kuwa nayo ni kuwa Mtanzania mwenye umri wa kuanzia miaka 18!

Ila huwezi kuwa na sifa ya kugombea Ujumbe wa Baraza la Uwakilishi hasa kama unaishi Bara kwa sababu sifa kuu ya kuteuliwa ni lzm uwe na ID inayoonyesha ww ni mkazi wa Zanzibar at least kwa miaka 3 mfululizo!

Jimbo hilo mbunge wake ni Mzee Seif Khatib(Correct me if i'm wrong)na "mwenye nalo Mzee Khatibu"sijasikia kama katangaza kung'atuka!

Hilo jina la Elly linadhihirisha wewe si mtoto wa mamdogo. Watoto wa mamdogo ndiyo wenye nafasi ya kushinda zenji. Mambo ya Bwana asifiwe kule akaa!!
 
Kama wewe ni mtanganyika na kweli uko serious ni heri ujipange ugombee majimbo ya bara
 
Mkuu unachokonoa Muungano!? Nawakumbuka wachache: Kisasi na Mwakanjuki lakini nao nadhani walizaliwa visiwani. Sasa kama wewe ni wa mrima basi huna chako huko Uzini, Wawi, kibandamaiti, Kojani, Mjimkongwe wala Makunduchi! Chao chao chetu chao!
 
Kama wewe ni mtanganyika na kweli uko serious ni heri ujipange ugombee majimbo ya bara
Ya bara wapiga kura wengi, nimegundua zenji kura elfu 2.5 nimeshaingia mjengoni, kupiga kampeni itakuwa rahisi kwangu maana sina fedha za kutosha.

Si kuna wazenji wanawakilisha majimbo ya Bara kule Dom? Au sisi watanganyika haturuhusiwi kugombea kwao ila wao ruksa kwetu?
 
Zenji cio Tanganyika bali ni usultanini, huko hakuna samahani, bali ni jicho kwa jicho, na jino kwa jino.bora nguvu hiyo uihamishie huku kwenu!!(wabaguzi sana wa Itikadi, hapafai)
 
nimeona sifa mbili ambazo kwa hakika hutofanikiwa kutimiza malengo yako.
1. Utanzania Bara. Mpaka hapo umeshashindwa kwani hao jamaa kwa ubaguzi hawafai,hiyo itakuwa point of weakness ambayo wapinzani wako wataitumia kukumaliza kwenye kampeni.
2. Dini. Wewe kuwa mkatoliki ni kigezo tosha kukumaliza. Huko zenj wakristo hawatakiwi sema basi inabidi wajizuie tu,mfano makanisa kuchomwa moto bila wahusika kuchukuliwa hatua zozote.

Kulingana na hizo sababu kuu mbili wala usijisumbue kugombea huko nchi ya jirani kwani utapoteza tusenti twako na muda utakao tumia kipindi cha kampeni.
 
Back
Top Bottom