Mimi ni mtanzania wa upande wa Bara, nataka kugombea ubunge wa bunge la jamhuri ya muungano kwa tiketi ya CUF, jimbo la uzini, zenji, wadau inawezekana?
Hakuna nafasi kama hiyo imetangazwa kuwa unaweza kugombea ubunge wa uzini , ila ni kuwa mjumbe wa baraza la wawakilishi , kitu ambacho sio cha Muungano.
Unazijua sheria za uchaguzi Zanzibar? zijue kwanza kabla ya kuandika ulichoandika
Mimi ni mtanzania wa upande wa Bara, nataka kugombea ubunge wa bunge la jamhuri ya muungano kwa tiketi ya CUF, jimbo la uzini, zenji, wadau inawezekana?
Kasema atagombea mwaka 2015 na wala sio sasa na ana haki kugombea kikatiba Ubunge jimbo lolote la Ubunge TZ likiwemo la Uzini kwani sifa pekee unayotakiwa kuwa nayo ni kuwa Mtanzania mwenye umri wa kuanzia miaka 18!
Ila huwezi kuwa na sifa ya kugombea Ujumbe wa Baraza la Uwakilishi hasa kama unaishi Bara kwa sababu sifa kuu ya kuteuliwa ni lzm uwe na ID inayoonyesha ww ni mkazi wa Zanzibar at least kwa miaka 3 mfululizo!
Jimbo hilo mbunge wake ni Mzee Seif Khatib(Correct me if i'm wrong)na "mwenye nalo Mzee Khatibu"sijasikia kama katangaza kung'atuka!
Kumbe dini nayo yatakiwa, mimi na mkristo mkatolikiDini gani wewe?
Ya bara wapiga kura wengi, nimegundua zenji kura elfu 2.5 nimeshaingia mjengoni, kupiga kampeni itakuwa rahisi kwangu maana sina fedha za kutosha.Kama wewe ni mtanganyika na kweli uko serious ni heri ujipange ugombee majimbo ya bara