xhion
Member
- Jul 18, 2012
- 29
- 9
NATAMANI kungekuwa na sheria kila Mmbunge ni lazima aishi kwenye jimbo lake. Jimboni kwake awe anaondoka pale panapokuwa na ishu za kikazi au likizo.
NATAMANI wabunge wangekuwa na uzalendo na kujua pale bungeni wako kwa ajili ya wananchi waliowamini na kuwapa kura ili wakawatetee na kutumiza ahadi zao walizoahidi ktk majimbo. Na siyo kutetea maslahi ya chama.
NATAMANI wananchi wangekuwa na haki ya kumuondoa mbunge ambaye wanaona hafanyi kazi waliomtuma na kumchagua mpya.
NATAMANI mpiga kura naye pia angekuwa anahudhuria bungeni. Ili apate nafasi ya kumkumbusha mbunge wake matatizo yaliyopo jimboni.
NATAMANI........
NATAMANI wabunge wangekuwa na uzalendo na kujua pale bungeni wako kwa ajili ya wananchi waliowamini na kuwapa kura ili wakawatetee na kutumiza ahadi zao walizoahidi ktk majimbo. Na siyo kutetea maslahi ya chama.
NATAMANI wananchi wangekuwa na haki ya kumuondoa mbunge ambaye wanaona hafanyi kazi waliomtuma na kumchagua mpya.
NATAMANI mpiga kura naye pia angekuwa anahudhuria bungeni. Ili apate nafasi ya kumkumbusha mbunge wake matatizo yaliyopo jimboni.
NATAMANI........