ydon
JF-Expert Member
- Apr 17, 2014
- 235
- 157
B
MUNGU akutetee ishi maisha mapya ndani ya kristoAkilinjema, Bado sijaoa na huyo mwana mke yupo Iringa na mimi nipo Dar kwa saa,,,na nimeokoka tarehe25 mwezi uliopita baada ya kuudhuria mkesha wa cristmass Mchungaji alisema atakae kubali kuruhusu Yesu azaliwe moyoni mwake atambadilisha maisha yake na kufuta historia mbaya ya maisha ya nyuma atamfanya kuwa mpya nikaona isiwe kesi wacha nimkubali tu Huyu Yesu huwenda atatenda na kwangu pia
Sent using Jamii Forums mobile app