Queen Kan
JF-Expert Member
- Dec 26, 2012
- 5,302
- 9,095
Habari zenu, naamini mko wazima.
Niko kwenye mahusiano nae kwa muda wa miaka minne, tunapendana sana na hajawahi onesha kunivunjia heshima hata siku moja, isipokua migogoro midogomidogo ya kawaida, katikati ya mwaka jana albadlika, kila nikimpgia simu eti yuko busy. Mimi niko Dar yeye yuko nje ya mkoa kikazi, nahisi kuchoshwa na hili na natamani kuvunja haya mahusiano lakini bado nampenda.
Cjui nifanyeje
Niko kwenye mahusiano nae kwa muda wa miaka minne, tunapendana sana na hajawahi onesha kunivunjia heshima hata siku moja, isipokua migogoro midogomidogo ya kawaida, katikati ya mwaka jana albadlika, kila nikimpgia simu eti yuko busy. Mimi niko Dar yeye yuko nje ya mkoa kikazi, nahisi kuchoshwa na hili na natamani kuvunja haya mahusiano lakini bado nampenda.
Cjui nifanyeje
