ha!ha!ha! Pouwauwezi fundisha samaki ogelea wew...
Mara tatu kakufanya bado unasema,we ndo ulimfundisha..?
We unataka jamaa aseme demu wake malaya..?kila mtu lazima ajivunie alichonacho...
Acha ushamba kaka,ikiwa ww ulitendwa mara 3 itakuwa mchz ukiweka picha..?nae ataesabu ya kwanza..
Chukulia pouwa ndo ilivyo hyo..
kurudiana nae sitoweza mkuu, kumsahau nimejaribu lakin yeye huwa ndio ananitafuta na kumwambia asinitafute nashindwa kubadili namba nashinndwa coz ndiyo namba ya biashara zanguhapo kwenye red, ndio panaweza pakasababisha tatizo lako la kuumia moyo likawa endelevu, kama hautafanya maamuzi ya kumaanisha. Njia nzuri ni kukata nae mawasiliano, maana huyo dada akishagundua kua bado unampenda , atakutesa sana, utashindwa kuendelea na maisha yako, na hata kama itatokea mje kurudiana bado atakutesa maana kashajua weakness yako, ni kua unampenda sana na hata akikucheat utasamehe tu.
habari wana jf!
Heri ya sikukuu ya eid el hajji
kwa ufipi nilikuwa na girlfriend tulipendana sana nilidumu nae kwa muda wa miaka 5 na mimi ndiye niliyemfundisha mapenzi tangu tupo secondari.
Tuliachana baada ya kunisaliti na kumsamehe mara 3 ilipokuwa chuoni. Lakin kwa sasa tunamawasiliano vizuri lakin kama maraafiki wa kawaida na juzi tulikutana.
Kwasasa yeye ana mpenzi tena nimeona picha kwenye account yake ya facebook amekuwaengaged,
mara nyingi napenda kucomment kikawaida bila mtu kujua kuwa tulishawahi kuwa na mahusiano
kinaniuma zaidi kila ninapocomment huyo mchumba wake nae anakuja kucomment kunionyesha kuwa yeye ndiyo mmiliki wa huyo msichana
na zaidi pia kwenye account ya huyo jamaa ameweka picha za huyo binti (my ex gf) akijisifia kuwa mchumba wake hana skendo yoyote ile na anajiamini kuweka picha yake.
Hili linaniuma sana tena sana jamani natamani nimtag huyo jamaa picha ambazo ni mbaya nikiwa na huyo binti enzi za mahusiano yetu lakin sina ugomvi na binti naombeni mnishauri kwa hili tafadhari!! Nawasilisha
acha ujinga mlishaachana sasa tatizo liko wapi nawe weka picha za demu wakohabari wana jf!
Heri ya sikukuu ya eid el hajji
kwa ufipi nilikuwa na girlfriend tulipendana sana nilidumu nae kwa muda wa miaka 5 na mimi ndiye niliyemfundisha mapenzi tangu tupo secondari.
Tuliachana baada ya kunisaliti na kumsamehe mara 3 ilipokuwa chuoni. Lakin kwa sasa tunamawasiliano vizuri lakin kama maraafiki wa kawaida na juzi tulikutana.
Kwasasa yeye ana mpenzi tena nimeona picha kwenye account yake ya facebook amekuwaengaged,
mara nyingi napenda kucomment kikawaida bila mtu kujua kuwa tulishawahi kuwa na mahusiano
kinaniuma zaidi kila ninapocomment huyo mchumba wake nae anakuja kucomment kunionyesha kuwa yeye ndiyo mmiliki wa huyo msichana
na zaidi pia kwenye account ya huyo jamaa ameweka picha za huyo binti (my ex gf) akijisifia kuwa mchumba wake hana skendo yoyote ile na anajiamini kuweka picha yake.
Hili linaniuma sana tena sana jamani natamani nimtag huyo jamaa picha ambazo ni mbaya nikiwa na huyo binti enzi za mahusiano yetu lakin sina ugomvi na binti naombeni mnishauri kwa hili tafadhari!! Nawasilisha
habari wana jf!
Heri ya sikukuu ya eid el hajji
kwa ufipi nilikuwa na girlfriend tulipendana sana nilidumu nae kwa muda wa miaka 5 na mimi ndiye niliyemfundisha mapenzi tangu tupo secondari.
Tuliachana baada ya kunisaliti na kumsamehe mara 3 ilipokuwa chuoni. Lakin kwa sasa tunamawasiliano vizuri lakin kama maraafiki wa kawaida na juzi tulikutana.
Kwasasa yeye ana mpenzi tena nimeona picha kwenye account yake ya facebook amekuwaengaged,
mara nyingi napenda kucomment kikawaida bila mtu kujua kuwa tulishawahi kuwa na mahusiano
kinaniuma zaidi kila ninapocomment huyo mchumba wake nae anakuja kucomment kunionyesha kuwa yeye ndiyo mmiliki wa huyo msichana
na zaidi pia kwenye account ya huyo jamaa ameweka picha za huyo binti (my ex gf) akijisifia kuwa mchumba wake hana skendo yoyote ile na anajiamini kuweka picha yake.
Hili linaniuma sana tena sana jamani natamani nimtag huyo jamaa picha ambazo ni mbaya nikiwa na huyo binti enzi za mahusiano yetu lakin sina ugomvi na binti naombeni mnishauri kwa hili tafadhari!! Nawasilisha
Achana nae na kama unataka usiendelee kuumiza moyo wako, mfute kabisa kwenye friends list yako, yaani kwa ufupi kata mawasiliano nae japokua hamjagombana , ila fanya hili kwa ajili ya happiness yako na pia uweze kumove foward na maisha yako.
.... the value of what you have is when you lost it!
Waache wapendanao wafurahie mahusiano yao. Ukimharibia mwenzio itakufaa nn? Jitahidini kutengeneza urafiki na si kuongeza maadui hata pasipo na sababu. Nakushauri usifuatilie hata hiyo fb page yake, kama yuko kwenye contacts zako, disable/delete kabisa. Hii itakupunguzia wivu.
Unasumbuliwa na wivu tu huna hoja.Ukifanya hivyo utathibitisha kuwa u limbukeni wa Mapenzi
Na haitakuasidia lolote
Bazazi Nimesema!