Bujibuji Simba Nyamaume
Platinum Member
- Feb 4, 2009
- 78,142
- 166,071
Kama una utaalam wa LIMBWATA nifundisheHata wewe mkuu ?
Nataka nijichape mwenyewe nikiona nazidiwa najizindua kidogoHapo nikumuomba tu wifi yetu akuloge/akupe limbwata.
Miss Natafuta hebu kuja hukuMiss Natafuta ana habari hizi? Mimi ninatafuta limbwsta nimuwekee Asprin .
Twende wote pande za Malawi na Mozambique huko ninasikia ni funga kazi.
HayaNataka nijichape mwenyewe nikiona nazidiwa najizindua kidogo
Na wewe una mivuto...... utadhani Lady RedHaya
MKuchepuka ni haki yako ya msingi
Mbona dhamira inanisuta? Haki gani hiyo ya kuniumiza nafsi yangu mwenyewe?Kuchepuka ni haki yako ya msingi
Sitaki kurogwa, nataka nijirogeOmba mkeo akuloge ila ukisha logwa ndo basi tena huna chako
Ukiona kitu chochote sheria ya jamuhuri haikufungi ni haki yako maisha mafupi kula nchiMbona dhamira inanisuta? Haki gani hiyo ya kuniumiza nafsi yangu mwenyewe?
Siiogopi serikali namuogopa MunguUkiona kitu chochote sheria ya jamuhuri haikufungi ni haki yako maisha mafupi kula nchi
Hapo hutapata dawaSitaki kurogwa, nataka nijiroge
Hahahhhh kumbeeeeee! Ile chorusYaani tangu nimempata huyu manzi wangu, mademu wakaliiiiiiii wamekuwa wakinifuata kila uchao, sijui kwanini nashindwa kuwakataa!!!!
Najishangaa nimekuwa kaka kitombi.
Hapa nahitaji LIMBWATA kali la kunifanya nisichepuke, maana huyu mrembo nampenda sana na kila nikichepuka naumia sana roho .