Natamani .........., natamani ......., natamani..........

Natamani .........., natamani ......., natamani..........

Mkunde Original

JF-Expert Member
Joined
Jul 20, 2013
Posts
807
Reaction score
647
Habari zenu MMU wote,

Nimejikuta nimetamani kurudi zamani yaani kabla sijajiunga JF, natamani niwe na tabia nzuri kama zamani, natamani niwe muaminifu hata kwenye kujibu swali la uko wapi kwenye simu kama zamani, natamani kuwa kama malaika, natamani kuwa kama mtoto, nataka kuwa innocent ila jamii iliyonizunguka imenibadili mnoooo hado cocaine imenionjesha, zamani kuzuri kuliko leo, ntarudije zamani..........................???
 
Pole,kwa stor zko za nyuma inaonyesha mateso na huzuni za nyuma zilikufanya ukaingia kweny ulimwengu mwingne ambao nw ndo unaujutia,Sory for that.
 
Back
Top Bottom