Digo wa Digo
New Member
- Jul 11, 2013
- 4
- 0
kwa kweli vijana wamezidi kunisononesha,siku nikimpata mmama aliyetulia naoa kabisa,sisemi hivi ili kusaidiwa kimaisha,mimi ninajiweza kikawaida siyo tegemezi.
Kweli naona umejiunga leo na kudondosha post kali!!! Hawa wa mama unataka wa umri gani? Be specific kwa kuwa nao wamechoshwa na wanaume wasumbufu ndo maana wana viserengeti boy!!! Ila mmama si atakuwa mama yako? Sema mapenzi ni kipofu eti haoni!!kwa kweli vijana wamezidi kunisononesha,siku nikimpata mmama aliyetulia naoa kabisa,sisemi hivi ili kusaidiwa kimaisha,mimi ninajiweza kikawaida siyo tegemezi.
kwa kweli vijana wamezidi kunisononesha,siku nikimpata mmama aliyetulia naoa kabisa,sisemi hivi ili kusaidiwa kimaisha,mimi ninajiweza kikawaida siyo tegemezi.