Natakufata kazi

Natakufata kazi

Joined
Jun 16, 2019
Posts
28
Reaction score
14
Kwa majina naitwa MOHAMED HABIBU MOHAMED ni mkazi wa mkoa wa DoDoma,umri wangu miaka 25 mwenye elimi ya kidato cha nne (4).
Nina nina fani ya udereva pia ni mzoefu usio pungua maika 3 ya kuendesha gari kuanzia robo ¾ tani mpaka tani 3½.
Nina uzoefu wa kuuza duka la aina yoyote isipo kuwa duka la dawa maan sio fani yangu,nina ujuzi wa kuwa store keeper.
Niko tayari kufanya kazi ambayo ni halali ili nijiongezee kipato.Kwa yoyote alie naomba tuwasiliane kwa namb
0622 94 1452 au 0719 01 3003 pia kupitia email mohamedhabibu075@gmail.com
 
Nakupa fursa mbili zilizopo Shule ya Sekondari Sakana Iliyopo Kiluvya, Gogoni, jijini Dar Es Salaam.

1. Kama wewe ni Mwalimu wa Fizikia na Hesabu (Basic Mathematics) karibu ufanye Interview, ya masomo hayo mawili, anahitajika Mwalimu wa masomo hayo as soon as Possible.

2. Kuna nafasi za kuhamia kidato cha kwanza na cha tatu kuanzia mwaka huu 2022, endapo utaleta Mwanafunzi kujiandikisha, utapewa kiasi cha Shilingi 100,000/= hii ni shule ya kwanza kuweka fursa hii kwa mtu yeyote, bila kujuana. The more the heads, the more the money.....

Shule pia itaendelea kupokea wanafunzi wa kidato cha pili mwaka 2023' mapema mwisho wa Mwaka huu.

Kwa mawasiliano;
0743123946 WhatsApp
0684436954 Call.

Karibu.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom