kitambaa Cha sofa
Member
- May 23, 2023
- 79
- 152
Kunywa MABENDAZOHabari
Mwenzenu niliumwa Sana nilienda hospital hawaoni ugonjw...
Oyaa classmate uyo
Habari
Mwenzenu niliumwa Sana nilienda hospital hawaoni ugonjwa
Hv juzi Kati nikageukia tiba asilia
Ni huko ndio nimeambiwa kuwa ugonjwa wangu hauhitaji dawa Ila natakiwa niwe mganga ndio nitapona
Naomba mnishauri jamani nifanyeje Mimi sitaki kuwa mganga
Au km kuna vitu ambavyo nikitumia hv vimahoka vitakimbia naomba mnielekeze
Ni kweli uganga sio starehe hata kidogo, kuna mambo mengi ya kutisha na mabaya utatakiwa kufanya bila ridhaa yako. Itabidi ujishike na Mungu wa Kweli kwa nguvu zako zote uepukane na mizimu ya kwenu. Kifupi tu ni kwamba kuwa Mkristo imara mwenye kumwamini na kumfuata Yesu Kristo kwa imani na matendo. Nenda kwa mchungaji wa kweli akuongoze kwenye wokovu wa Yesu Kristo, hiyo ndio dawa pekee ya hayo mambo.Habari
Mwenzenu niliumwa Sana nilienda hospital hawaoni ugonjwa
Hivi juzi Kati nikageukia tiba asilia
Ni huko ndiyo nimeambiwa kuwa ugonjwa wangu hauhitaji dawa Ila natakiwa niwe mganga ndio nitapona
Naomba mnishauri jamani nifanyeje Mimi sitaki kuwa mganga
Au kama kuna vitu ambavyo nikitumia hivi vimahoka vitakimbia naomba mnielekeze