Nataka sana kuoa

Nataka sana kuoa

Unaishi mkoa gani ulikokosa mwanamke wakuoa? Njoo Zanzibar au ntakupeleka Tanga ukachague au hujui unataka nini?
 
makanisani wanawake kibao wanafunga na kusali wapate wa kuwaoa, kaza buti kutafuta wapo wengi wewe tanua wigo tu
 
Kama unataka msichana mzuriii na mrembo kaoe bongo movie, mbona wapo wengi ambao wapo singel
 
una hela na umekosa mwanamke?
huwezi kuwa serious asee mi najua ukiwa na hela wanawake wanakufata fata kama nyuki kwenye maua
Mimi sina pesa mapenzi ya ukweli na cucumber tu nitapata kweli???
 
Hahaaaa nimecheka juzi tu wife akawa ananiambia jamaa kasoma nae, siku zote hakuwahi kum amproach hadi wakamaliza siku za karibuni wakaonana jamaa kufunguka ile kumwambia yupo occupied na anakaribia kuolewa jamaa kachanganyikiwa. Huenda ukawa ni wewe
 
Wakuu,

.............................................................................................................
Ni kitu kinauma sana pale unapokosa unachokihitaji katika maisha, nawashauri wale wenye wapenzi wao wenye malengo katika maisha washikamane maana muda utapomkosa utajiona hu mpweke dunia nzima.
Acha woga. Pambana mkuu huwezi kukosa. Hata humu JF wapo. Muulize The bold
 
Back
Top Bottom