Nataka mashine ya kusaga na kukoboa

Nataka mashine ya kusaga na kukoboa

Hivi punde

JF-Expert Member
Joined
Apr 1, 2017
Posts
2,554
Reaction score
8,627
Wakuu mimi nipo Moshi Mjini.

Nataka kuanzisha mradi wa mashine ya kusaga na kukoboa.

Mashine nzuri ni yenye mortor yenye ukubwa gani ? Na kinu chenye ukubwa gani ?

Gharama za kununua zikoje ukijumlisha na ufungaji wake ?

Asanteni
 
Wakuu mimi nipo Moshi Mjini.

Nataka kuanzisha mradi wa mashine ya kusaga na kukoboa.

Mashine nzuri ni yenye mortor yenye ukubwa gani ? Na kinu chenye ukubwa gani ?

Gharama za kununua zikoje ukijumlisha na ufungaji wake ?

Asanteni
Mashine za kusaga na kukoboa tunazitengeneza kuanzia millioni mbili na laki sita unapata mashine yako nina post nyingi zinazoelezea hii biashara
Tupo Ubungo external 0762612213
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom