Nataka kwenda kuishi jela

Nataka kwenda kuishi jela

Nairobian

JF-Expert Member
Joined
Dec 11, 2012
Posts
873
Reaction score
2,282
Baada maisha kuwa magumu kwetu sisi mashetani, nachelea kusema kwamba, bora nikaishi jela kuliko huku uraiani. Maisha yamekuwa magumu sana. Usalama wetu umekuwa ni mdogo sana.

Hakuna ajira, Kwa hiyo ili nisiende kuiba na kuuawa, bora nijipeleke jela moja kwa moja. Kwani kule mtukufu Rais amepeleka neema, billion 10. Kwa hiyo maisha yatakuwa mazuri jela kuliko uraiani. Baba ni bora utupe fursa ya kwenda kuishi jela ili kuepukana na ugumu huu wa maisha huku mtaani
 
Baada maisha kuwa magumu kwetu sisi mashetani, nachelea kusema kwamba, bora nikaishi jela kuliko huku uraiani. Maisha yamekuwa magumu sana. Usa Usalama wetu umekuwa ni mdogo sana.

Hakuna hajira, Kwa hiyo ili nisiende kuiba na kuuwawa, bora nijipeleke jela moja kwa moja. Kwani kule mtukufu Rais amepeleka neema, billion 10. Kwa hiyo maisha yatakuwa mazuri jela kuliko uraiani. Baba ni bora utupe fursa ya kwenda kuishi jela ili kuepukana na ugumu huu wa maisha huku mtaani
Mvizie polisi then stab yeye hapo utaishi jela maisha yote
 
Baada maisha kuwa magumu kwetu sisi mashetani, nachelea kusema kwamba, bora nikaishi jela kuliko huku uraiani. Maisha yamekuwa magumu sana. Usa Usalama wetu umekuwa ni mdogo sana.

Hakuna hajira, Kwa hiyo ili nisiende kuiba na kuuwawa, bora nijipeleke jela moja kwa moja. Kwani kule mtukufu Rais amepeleka neema, billion 10. Kwa hiyo maisha yatakuwa mazuri jela kuliko uraiani. Baba ni bora utupe fursa ya kwenda kuishi jela ili kuepukana na ugumu huu wa maisha huku mtaani
Kwani sasa unaishi wapi mwnzetu,sio jela? au unataka uishi Jela daraja la kwanza?
 
Kule kuzuli kula bule kulala bule.... Ilaaaaa tatizo kuna ukuta kule mkuu
Inategemea jela IPI usifikiri utapelekwa za mjiini kama gereza LA kisongo arusha ukishahukumiwa waweza pelekwa gereza LA porini mikoa ya misituni ambao hakuna ndugu wa kukuona na maisha ni magumu ya kuua MTU.gereza huchagui unanapangiwa
 
Mnadanganyana tu hapa. Mnajitekenya na kucheka wenyewe.

Hivi mnaijua jela vizuri??

UHURU ulionao huwezi kuona thamani yake hadi upoteze maana THAMANI YA KITU ITAONEKANA NYAKATI MBILI 1.KIPINDI UNAKITAFUTA HIKO KITU.

2. UKIKIPOTEZA.

Anza choko choko za uchochezi utapata unacho kitaka
 
Unataka kwenda jela bila kutenda kosa na kupatikana na hatia? Nivigumu kwenda mbinguni bila kufa.
 
Bora ule ukuta tujue moja tuko jela kuliko huu ushuru feki
Ni rahisi sana kama unataka nikuelekeze namna ya kufungwa jela kabla mwaka haujaisha
Ila jua jela cha kwako roho vingine watakula wajelajela jiandae kisaikolojia

Nikukumbushe tu
Ukiwa na ugali huwezi kukumbuka kwamba ugali umetokana na unga, sasa kosa ugali ujue thamani ya unga.
Jela hakuna jamiiforums
Jela kuna wafungwa na askari hakuna shikamoo mzee kule, hakuna pole mzee pumzika kulima kwa Leo, hakuna kuulizwa unataka kulala saa ngapi ni ukiona SAA tisa mchana unajipanga sehemu kuhesabiwa uingie kulala, jela milo miwili uji na ugali maharage mchana ukipenda kula tayari watu wana-take advantage ya viungo vyako
Kama huijui jela uliza kwanza usidanganyike kisa uliskia Mzee Nelson Mandela alifungwa miaka 27
 
Mnadanganyana tu hapa. Mnajitekenya na kucheka wenyewe.

Hivi mnaijua jela vizuri??

UHURU ulionao huwezi kuona thamani yake hadi upoteze maana THAMANI YA KITU ITAONEKANA NYAKATI MBILI 1.KIPINDI UNAKITAFUTA HIKO KITU.

2. UKIKIPOTEZA.

Anza choko choko za uchochezi utapata unacho kitaka
Oovyooo
 
Back
Top Bottom