Jiandae kujiajiriJamani wadau naomba mnisaidie kuhusu coz ya electrical engineer naitaji kusoma coz ya Electrical engineer Chuo cha kikuu mbeya MUST Naomba ufafanuzi juu ya ajila na kujiajiri
mkuu iyo kozi inahusiana na nini naomba unijuze?soma mechatronics hapo must n koz nzur sana
Badili kichwa cha habari. Inaitwa ni Electrical Engineering(Uhandisi wa Umeme) as Opposed na Electrical Engineer(Mhandisi wa Umeme)Jamani wadau naomba mnisaidie kuhusu coz ya electrical engineer naitaji kusoma coz ya Electrical engineer Chuo cha kikuu mbeya MUST Naomba ufafanuzi juu ya ajila na kujiajiri
Una uhakika na unachokisema?Jiandae kujiajiri
Unarekebishwa unaleta kiburiIla si umeelewa au ndo kujifanya ujuaji
Karibu sana hapa we wakike au wakiume???Jamani wadau naomba mnisaidie kuhusu coz ya electrical engineer naitaji kusoma coz ya Electrical engineer Chuo cha kikuu mbeya MUST Naomba ufafanuzi juu ya ajila na kujiajiri