Invinsible
JF-Expert Member
- Nov 11, 2014
- 314
- 382
kama nimekuelewa hiviElimu haina Mwisho! Usifanye kitu kisicho na Mwisho!

kama nimekuelewa hiviElimu haina Mwisho! Usifanye kitu kisicho na Mwisho!

Hongera aiseeNi ngumu Kama hana nia ya dhati,lakini Kama ana nia na anajua kichwa iko smart ni rahisi tu.Binafsi nimetumia njia hiyo,nilianza,QT 2009 pale Sinza kuna kituo/tution ilikuwa inaitwa Tanganyika Edu Consult Centre,sikukwama popote mpaka nimegraduate 2015.
Hivo kwa mtu yoyote mwenye nia ya kweli anaweza bila Shaka.
Labda Kama Anataka Kusoma Art Ila Kama Anataka Asome Science Na Kwa Ratiba Hii Unayompa Atadondokea Pua Mwache Aludie Cha Pili Akimaliza Apge SixUkituliza kichwa ndani ya miaka mitatu unakuwa upo kidato cha sita
Na maana mwaka huu unafanya mtihani Wa maarifa QT (2018)
Ukifaulu QT mwakani utafanya mtihani wa kidato cha NNE(2019)
Ukifaulu mtihani Wa kidato cha nne(2021) utafanya mtihani wa kidato cha sita
Ukifaulu mtihani wa kidato cha sita (2021) unaenda chuo kikuu
Kwahiyo unaweza kurudi shule na ukafanya vizuri tu