frank boaz
Member
- Mar 7, 2017
- 9
- 1
Wakubwa Nisaidien nataka kurudi Shuleni Kidato cha pili Nisaidieni Vigezo ninavyotakiwa kuwa navyo
Unaumri ganiWakubwa Nisaidien nataka kurudi Shuleni Kidato cha pili Nisaidieni Vigezo ninavyotakiwa kuwa navyo
miaka 20Unaumri gani
Elimu haina mwisho.. bora uende veta tumiaka 20
hapana mi nataka kurudi shuleElimu haina mwisho.. bora uende veta tu
Ukiwa unaongea ni rahisi sanaa... Kwa vitendo ndo pagumu apoo..... ayo mambo ni kufungua moyoUkituliza kichwa ndani ya miaka mitatu unakuwa upon kidato cha sits
Na maana mwaka huu unafanya mtihani Wa maarifa QT (2018)
Ukifauru QT mwakani utafanya mtihani Wa kidato cha NNE(2019)
Ukifauru mtihani Wa kidato cha nne(2021) utafanya mtihani Wa kidato cha sita
Ukifauru mtihani Wa kidato cha sits (2021) unaenda chuo kikuu
Kwaiyo unaweza kurudi shule na ukafanya vizuri tu
kwel mm nimedhamiriaUkiwa unaongea ni rahisi sanaa... Kwa vitendo ndo pagumu apoo..... ayo mambo ni kufungua moyo
Wakubwa Nisaidien nataka kurudi Shuleni Kidato cha pili Nisaidieni Vigezo ninavyotakiwa kuwa navyo
Inawezekana kama ana nia so simple cha msingi awe na uhakika Wa maradhi, makazi na chakula , inawezekana kabisaUkiwa unaongea ni rahisi sanaa... Kwa vitendo ndo pagumu apoo..... ayo mambo ni kufungua moyo
Inawezekana kama ana nia so simple cha msingi awe na uhakika Wa maradhi, makazi na chakula , inawezekana kabisa
Ni ngumu Kama hana nia ya dhati,lakini Kama ana nia na anajua kichwa iko smart ni rahisi tu.Binafsi nimetumia njia hiyo,nilianza,QT 2009 pale Sinza kuna kituo/tution ilikuwa inaitwa Tanganyika Edu Consult Centre,sikukwama popote mpaka nimegraduate 2015.Ukiwa unaongea ni rahisi sanaa... Kwa vitendo ndo pagumu apoo..... ayo mambo ni kufungua moyo
Kama jeshini yani fungua moyo uelee kunywa maji mengiUkiwa unaongea ni rahisi sanaa... Kwa vitendo ndo pagumu apoo..... ayo mambo ni kufungua moyo
Kama jeshini yani fungua moyo uelee kunywa maji mengiUkiwa unaongea ni rahisi sanaa... Kwa vitendo ndo pagumu apoo..... ayo mambo ni kufungua moyo