Nataka Kurahisisha Ubunge - Afande Sele

Nataka Kurahisisha Ubunge - Afande Sele

Bukanga

JF-Expert Member
Joined
Dec 13, 2010
Posts
2,857
Reaction score
1,937
Akihojiwa katika kipindi cha Siasa za Siasa, Afande ambaye ni mtia nia ya Ubunge Morogoro mjin kupitia ACT amesema anataka kwenda bungeni ku-demonstrate kuwa kazi ya ubunge inawezekana bila kuchukua marupurupu mengi wanayopata wabunge.

Kwamba yeye atachukua shilingi 500,000 tu kwa mwezi hata kama atalazimishwa kuchukua maposho yote hatochukua....

Kuhusu tofauti ya ujamaa enzi za Mwalimu Nyerere na huu wa ACT ni kwamba Ujamaa wa ACT ni ujamaa wa kidemokrasia kwasababu wao wanaruhusu watu kumiliki mali...

Tazama kupitia EATV
 
Mchumia tumbo Huyo laki 5 si hela ya mafuta kwa mwezi tu!! au anamaanisha ataanzisha kampeni sitting allowance ipande kutoka laki3 hadi 5?
 
ACT wamsimamishe kama mgombea urais
 
Naona Msanii mwenzie Nick wa II anampiga maswali magumu sana...

Jamaa anabaki kusema "itikadi yetu" tuu...!!
 
Hivi Afande Sele anatuchukulia powa sana Wana Morogoro eeh?Hivi Morogoro tumeishiwa watu mpaka tumpeleke yeye bungeni?
 
afande_sele4.jpg
Mbunge mtarajiwa wa Morogoro cjajua ni wakina nani wanampa kura kwa hali hii.sele kaimba msanii KIOO CHA JAMII.Hiki ndio kio cha jamii ya Morogoro????Bado nipo shakani sani na huyu jamaa kweli anataka ubunge wa Morogoro au anataka kuwa Mbunge wa wavuta Bangi.Hebu nisaidieni
 
Sele bado hana uwezo wa kuwa mbunge! Ila afanye mzik wake utamsaidia ktk maisha yake.
 
sele na hao wenye kuitikia NDIOOOOOO kwa kila jambo wana tofauti gani
 
afande_sele4.jpg
Mbunge mtarajiwa wa Morogoro cjajua ni wakina nani wanampa kura kwa hali hii.sele kaimba msanii KIOO CHA JAMII.Hiki ndio kio cha jamii ya Morogoro????Bado nipo shakani sani na huyu jamaa kweli anataka ubunge wa Morogoro au anataka kuwa Mbunge wa wavuta Bangi.Hebu nisaidieni

Duuh...kweli siasa imeingiliwa
 
Back
Top Bottom