Jitahidi ujikane kwanza kisha ujitwike msalaba wako halafu mfuate Yesu Kristo.
Na kumbuka ukiokoka unakuwa barua isomwayo na watu.
Wengine wameokoka lakini wako sawa na wasiookoka.
Hawajajikana, wagumu kusamehe, hawajui kupenda wanachuki, washirikina, wazinzi,
N.k
Mavazi yao ndo utachoka kabisa, wanawake wengine juu ya magoti, mapaja wazi, migongo wazi, suluari